DEREVA ASIYE NA MIKONO AKATAZWA KUENDESHA GARI
Bwana huyo Wo Guo (45) si tu kwamba hakuwa na leseni bali alikuwa
akitumia mguu wake wa kulia kubadili gia huku mguu wa kushoto ukikanyaga mafuta na breki.
Msemaji wa polisi amesema: "Ni jambo la ajabu, lakini ni hatari sana
kwake kuendesha gari." Polisi huyo amesema itakuwa vyema kama ataajiri
dereva wa kumuendesha. Gari la bwana Wo linashikiliwa na polisi ili
kumzuia asiendelee kuendesha.
Picha na taarifa kutoka Metro na CEN.
Picha na taarifa kutoka Metro na CEN.
0 comments:
Post a Comment