Facebook

Thursday, 17 July 2014

Filipe Luis atua Darajani.

 Photo: Chelsea wametoa taarifa ikisema imemsajili Filipe Luis kutoka Atletico Madrid ingawa bado "wanasubiri makubalano ya maslahi binafsi na beki huyo wa kushoto mwenye umri wa miaka 28".
Mchezaji huyo wa Brazil, kwa muibu wa taarifa, alilazimishwa kufanya mazoezi na timu ya wachezaji wa akiba, baada ya kuonesha nia ya kumfuata Diego Costa Darajani.
Chelsea wametoa taarifa ikisema imemsajili Filipe Luis kutoka Atletico Madrid ingawa bado "wanasubiri makubalano ya maslahi binafsi na beki huyo wa kushoto mwenye umri wa miaka 28".

Mchezaji huyo wa Brazil, kwa muibu wa taarifa, alilazimishwa kufanya mazoezi na timu ya wachezaji wa akiba, baada ya kuonesha nia ya kumfuata Diego Costa Darajani.

Related Posts:

  • Chelsea yaikosa saini ya mfungaji bora wa Serie A,Mauro Icard. Timu ya Chelsea imepigwa mweleka katika mbio zake za kumsajili mchezaji Mauro Icardi baada ya mchezaji huyo kusaini mkataba mpya wa miaka minne na Inter Milan ya Italy. Mauro miaka 22 alikuwa anahusishwa na kuhamia Chelsea… Read More
  • Bale,Varane,Firmino kupishana na De Gea Man United.Manchester United imeripotiwa kutoa Ofa ya Pauni Milioni 110 kwa ajili ya Gareth Bale na Raphael Varane.Wawili hao pia wanahusishwa na kuhamia Chelsea. Lakini kwa mujibu wa Magazeti ya Spain, Cuatro na El Mundo, Real Madri… Read More
  • Liverpool watangaza kumsajili Milner. Klabu ya soka ya Liverpool imetangaza kumsajili kiungo James Milner kutoka Manchester City kwa uhamisho huru.Liverpool wamesema kuwa wamekubaliana masuala binafsi na Milner na atajiunga na timu hiyo mwezi wa saba tarehe moj… Read More
  • Pogba-"Ndoto zangu ni kucheza na Messi" KIUNGO wa Juventus, Paul Pogba amekiri kuwa ana ndoto za kucheza sambamba na mshambuliaji wa Barcelona Lionel Messi. Nyota huyo wa kimataifa wa Ufaransa kwa kipindi kirefu amekuwa akihusishwa na tetesi za kuondoka jijini… Read More
  • Essien asaini mkataba wa miaka 2 Panathinaikos Nyota wa timu ya taifa ya Ghana na klabu ya AC MilanMichael Essien amesajiliwa na kilabu ya Panathinaikos ya nchini Ugiriki kwa mkataba wa miaka miwili. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa ya Panathinaikos mchezaji huyo mwen… Read More

0 comments:

Post a Comment