Facebook

Sunday, 6 July 2014

Jezi mpya za United zavuja

Man United wanakuja na kocha mpya, jezi mpya zikiwa na mdhamini mpya Chevrolet.
Man United wanakuja na kocha mpya, jezi mpya zikiwa na mdhamini mpya Chevrolet.
Fulana mpya za Manchester United watakazovaa wakiwa nyumbani zimevuja mtandaoni – picha mpya za fulana hizo zikiwa na nembo ya wadhamini wapya Chevrolet.
United walipanga kuzindua toleo jipya la fulana hizo nyekundu siku ya Jumatatu ila mashabiki wameshaziona tayari.
Jezi hizo zitavaliwa kwenye mechi ya kwanza Old Trafford dhidi ya Swansea.
Jezi hizo mpya ni nyekundu sana, zikiwa na nembo ya mdhamini mpya Chevrolet.
Jezi hizo mpya ni nyekundu sana, zikiwa na nembo ya mdhamini mpya Chevrolet.

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment