Facebook

Saturday, 5 July 2014

Mambo ambayo Suarez haruhusiwi kufanya kutokana na kifungo cha FIFA.


 
Photo: #DSTVFootball MAMBO AMBAYO SUAREZ HARUHUSIWI KUFANYA KUTOKANA NA KIFUNGO CHA FIFA.
1: Haruhusiwi kufanya kazi zozote za hisani kwa jamii zinazohusiana na soka.
2: Haruhusiwi kufanya matangazo ya kutangaza bidhaa yoyote ya Liverpool.
3: Haruhusiwi kupiga picha rasmi ya timu.
4: Haruhusiwi kuingia kwenye uwanja wowote ambapo mechi rasmi itakuwa inachezwa.
5: Hatocheza mechi 9 za kimataifa.
6: Hatocheza mechi 12 za Liverpool zikiwemo za ligi na champions league katika kipindi cha miezi 4 aliyofungiwa.

1: Haruhusiwi kufanya kazi zozote za hisani kwa jamii zinazohusiana na soka.
2: Haruhusiwi kufanya matangazo ya kutangaza bidhaa yoyote ya Liverpool.
3: Haruhusiwi kupiga picha rasmi ya timu.
4: Haruhusiwi kuingia kwenye uwanja wowote ambapo mechi rasmi itakuwa inachezwa.
5: Hatocheza mechi 9 za kimataifa.
6: Hatocheza mechi 12 za Liverpool zikiwemo za ligi na champions league katika kipindi cha miezi 4 aliyofungiwa.

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment