Facebook

Sunday, 6 July 2014

Mathieu Debuchy mbioni kujiunga Arsenal.

 Photo: Mathieu Debuchy atatangazwa rasmi muda wowote kuanzia sasa kama mchezaji wa Arsenal kutokea Newcastle United. Beki huyo amekua na msimu mzuri msimu uliopita kitakwimu akimzidi beki wa nafasi hiyo aliyehamia Man City Bacary Sagna na pia kumuweka benchi timu ya taifa Ufaransa.
Uwepo wa Beki huyo wa kulia wa Ufaransa Emirates utamaliza tetesi za ujio wa beki mwingine wa kulia wa timu ya taifa ya Ivory Coast - Serge Aurier.

Nini maoni yako - Serge Aurier vs Mathieu Debuchy.
Gonga like kama yoyote ungependa
Mathieu Debuchy atatangazwa rasmi muda wowote kuanzia sasa kama mchezaji wa Arsenal kutokea Newcastle United. Beki huyo amekua na msimu mzuri msimu uliopita kitakwimu akimzidi beki wa nafasi hiyo aliyehamia Man City Bacary Sagna na pia kumuweka benchi timu ya taifa Ufaransa.
Uwepo wa Beki huyo wa kulia wa Ufaransa Emirates utamaliza tetesi za ujio wa beki mwingine wa kulia wa timu ya taifa ya Ivory Coast - Serge Aurier.
 
Imeandaliwa na....
                              Katemi Methsela.

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment