Facebook

Tuesday, 15 July 2014

MATOKEO YAZUA VURUGU ARGENTINA

 Salim Kikeke's photo.
Polisi wa Argentina wamepambana na waandamanaji katika mji mkuu, Buenos Aires baada ya nchi hiyo kufungwa na Ujerumani katika mchezo wa fainali ya Kombe la Dunia.
Salim Kikeke's photo.
Mapema jana jioni maelfu ya watu walikusanyika katika mnara wa Obelisk jijini humo ili kusherekea licha ya kupoteza mchezo huo.

Salim Kikeke's photo. Hata hivyo, baadaye usiku, hali ilibadilika na vijana kuanza kuwarushia polisi mawe na kuvunja maduka. Watu wasiopungua 50 walikamatwa huku polisi 15 wakijeruhiwa

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment