Baada ya kutoka jela, Chris alioanekana kubadilika umbo na kunenepa kiasi cha wengi kuhisi aliishi maisha mazuri akiwa jela.
Mwimbaji huyo wa New Flame ameonekana kuendeleza mabadiliko kwa
kutengeneza mtindo mpya wa nywele na kuzitoa rangi za awali zilizokuwa
kichwani kwake.
Thursday, 17 July 2014
Muonekano mpya wa Chris Brown
Related Posts:
Kanisa la ufufuo na uzima latoa tamko lake kuhusu sakata la Mbasha Kwanza tutoe pole Kwa watu wote mliofikwa na maafa mbalimbali pamoja na pole kwa kiongozi na mbunge wa Kigoma Zitto Kabwe kwa kufiwa na Mama Yake mzazi. Ni wiki sasa pamekuwa na gumzo hapa jijini juu y… Read More
Marlon Wayans kuwa mshereheshaji wa Tuzo za MTV Africa 2014 Tuzo za muziki za MTV 2014 zinarudi tena na ucheshi toka kwa Marlon Wayans, mchekeshaji mwenye miaka 41 ambae amekuwa kwenye game kwa muda mrefu sana ye… Read More
Sintah Amchana Irene Uwoya Blogger Sintah Amemchana Irene Uwoya baada ya Picha zake za Mahaba kusambaa Akiwa na Kiserengeti Boy cha THT. Jisomee Alichosema Sintah "Katika dawati letu hatusemi mengi zaidi ya kusema Irene, Irene, Irene???… Read More
Kifo cha George Tyson,uchawi wahusishwa..fuatilia hapa... Tatizo! Huku macho ya waigizaji na wadau wake hayajakauka machozi kufuatia vifo vya ghafla vya mwongoza sinema, Adam Philip Kuambiana (38) na mwigizaji Sheila Leo Haule ‘Recho’ (26), tasnia imempoteza mwingine,… Read More
Mumewe Flora Mbasha ajitokeza, afichua siri kuhusu tuhuma za ubakaji,,, Flora akiwa na mumewe,Emmanuel Mbasha Emmanuel Mbasha, ambaye ni mume wa mwimbaji nguli wa nyimbo za Injili, Flora Mbasha amejitokeza hadharani na kusema kwamba atakwenda polisi mwenyewe kujibu tuhuma dhidi yake za kumb… Read More
0 comments:
Post a Comment