Facebook

Thursday, 17 July 2014

Muonekano mpya wa Chris Brown

Baada ya kutoka jela, Chris alioanekana kubadilika umbo na kunenepa kiasi cha wengi kuhisi aliishi maisha mazuri akiwa jela.
Mwimbaji huyo wa New Flame ameonekana kuendeleza mabadiliko kwa kutengeneza mtindo mpya wa nywele na kuzitoa rangi za awali zilizokuwa kichwani kwake.

Related Posts:

  • Taarifa kamili kuhusu Chid Benz kukamatwa na madawa ya kulevya uwanja wa NdegeKuna taarifa zilitoka BantuTz.com leo jioni kuhusu msanii wa muziki wa kizazi kipya Chidi Benz kukamatwa na dawa za kulevya katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere Dar es Salaam akiwa anaelekea Mbeya kwenye show… Read More
  • Muigizaji Mzee Manento amefariki dunia Habari zilizotufukia hivi punde zinasema kuwa muigizaji Mzee Manento amefariki dunia hapo jana. Bado tunafuatilia kwa karibu habari hizi nz chanzo ch kifo cha mzee wetu huyu. Mzee Mnento atakumbukwa hasa kwa fil… Read More
  • CHIDI BENZ AVAA MLEGEZO KIZIMBANI.   Rapper Chidi benz aliypandishwa kizimbani siku ya jumanne kwa shtaka la kukamatwa na madawa ya kulevya... Amepandishwa tena kizimbani leo ambapo alirudishwa nje na Jaji akavae vizuri suruali aliyokuwa ameiweka mleg… Read More
  • JAY Z ANUNUA "DUME LA JEMBE"   Msanii wa Marekani Shawn Carter, maarufu kama Jay Z, amenunua nembo ya Armand de Brignac ya kinywaji cha champagne. Kampuni ya mvinyo na vinywaji vikali ya New York, Sovereign Brands imesema imeuza nembo yake … Read More
  • Beyonce aongoza kwa kipato. Akiingiza zaidi ya dola milioni 115, Beyonce amekuwa mwanamke anayelipwa zaidi katika muziki mwaka huu. Alikuwa na "mwaka wenye mafanikio zaidi", akifanya maonesho 95 na kuingiza wastani wa dola milioni 2.4 katika ki… Read More

0 comments:

Post a Comment