Chuo kikuu hiko kimeeleza kuwa kimetoa zawadi hiyo kama utambuzi wa mchango wake kwenye michezo.
Gigs ameweka rekodi ya kucheza mechi 963 Manchester United na 64 kwa upande wa Wales.
Alipewa kazi ya umeneja wa muda mfupi baada ya kufukuzwa David Moyes ana kwa sasa atafanya kazi chini ya kocha mpya Louis van Gaal.
0 comments:
Post a Comment