Tumia Namba mbili Whatsapp kwenye Simu Moja::Very Easy Steps
Mambo vipi wadau,
BantuTZ ni Sehemu ambayo tunapata informations nyingi tena bure pasipo
kutozwa hata mia,kwa kulitambua hilo tumekuletea jinsi
gani unaweza
kufanya,here below are the steps
1.Unistall Whatsapp ya mwanzo kabisa(official one) then unaenda kwenye folder la whatapps una edit na kuwa OGwhatsapp
2.Nenda kwenye playstore then download OGWhatsapp kama haujaikuta kuna link nimeiweka chini idownload manually uinstall
3.Register old number yako(uliyokuwa unaitumia mwanzo) kwa OGwhatsapp ,baada ya kumaliza njoo step ya 4
4.Install Official Whatsup(ile uliyo-unistall) then register na hiyo namba ya pili unayotaka kutumia kwenye device moja
Hapo utakuwa ushamaliza na very easy,mie nimeinstall natumia namba mbili kwenye simu moja.
Majiji 10 bora nchini Marekani.
ADVERTISEMENT
From
this Top 10, you will be unveiled of the U.S. cities from the brightest
to the most historic in the States. If you plan a trip there, never
miss these cities.
New York City
Among the must-sees in t…Read More
5 essential criteria for a cheap phone package
ADVERTISEMENT
Does
your phone bill significantly have an impact on your monthly expenses?
Don’t panic, there are other solutions without breaking a bank. As
everyone wants to have a low-cost p…Read More
USITUMIE DAWA AINA YA DICLOPA AU DICLOFENAC.
Dawa za Diclopa na Diclofenac
zadaiwa kuwa ni hatari kwa matumizi
ya binadamu.
Imegundulika Vidonge hivyo
husababisha kansa ya Ini na
Ubongo,Ugonjwa wa moyo, Kiharusi,
Vidonda vya Tumbo au kifo cha
ghafla. Kwaiyo ndugu zangu…Read More
0 comments:
Post a Comment