Professa Jay amepanga kuifanya video ya hit yake ya ‘Kipi
Sijasikia’ aliyomshirikisha Diamond Platinumz, Jumamosi hii (July 12,)
na hataki kumuweka mbali shabiki anaependa kazi yake.
Professa ametoa mualiko maalum kwa shabiki wake anaependa kushiriki katika video hiyo kupitia kadi maalum aliyoiweka Instagram.
“Kings and QUEENS wote mnakaribishwa wkeney video shooting ya KIPI
SIJASIKIA MUHIMU; Vigezo na masharti kuzingatiwa!!!” Ameandika Profesa
Jay kwenye Post yake Instagram
Related Posts:
Angelina Jolie na Brad Pitt wafunga ndoa.
Wacheza filamu maarufu wa Marekani, Angelina Jolie na Brad Pitt wamefunga ndoa.
Sherehe ndogo ya faragha iliyofanyika nchini Ufaransa,imemaliza miaka na mikaka ya tetesi za vyombo vya habari, ikiwa watafunga ndoa au la… Read More
Alichokijibu Flora Mbasha kwa mashabiki wake #KikaangoniLive EATV.Haya... Mambo ya Flora Mbasha na mashabiki
wake # KikaangoniLIVE ya East Africa Television
(EATV) ...
… Read More
Diamond atajwa kuwania tuzo za kimataifa.
Muimbaji wa Tanzania, Naseeb Abdul aka Diamond Platnumz ametajwa kuwania tuzo za reggae za kimataifa na muziki wa dunia 2014 (International Reggae and World Music
Awards (IRAWMA).
Diamond ametajwa kuwania kipengele cha Best … Read More
Kilichojiri katika utoaji wa tuzo za VMA 2014.
Tuzo za VMA 2014 zimefanyika na nyota wengi walifika kwenye hilo tukio.Orodha ya nyota hao iliongozwa na familia ya Jay Z na Beyonce wakiwa na
mtoto wao Blue Ivy,Kelly Rowland,Chris Brown,Solange,Nicki
Minaj,JLo,Us… Read More
Lady Jay Dee afunguka baada ya kuzushiwa kutoka na "Serengeti Boy"Baada ya kuzushiwa kutoka kimapenzi na kijana mdogo "serengeti boys" na gazeti moja kubwa nchini linaloongoza kwa udaku,Lady Jay Dee kupitia ukurasa wake wa Facebook akanusha taarifa hizo.
Akiwa katika hali ya kusononesha san… Read More
0 comments:
Post a Comment