Maelfu ya mashabiki wa soka nchini Ujerumani wamejitokeza mjini Berlin kuwalaki wachezaji wa timu ya taifa walioshinda Kombe la Dunia.

Sherehe kubwa zimefanyika katika eneo la Brandenburg Gate, ambapo wachezaji wameonesha kombe waliloshinda kwenye jukwaa, huku wakiserebuka.
0 comments:
Post a Comment