Facebook

Sunday, 13 July 2014

Vidal mbioni kukamilisha usajili kutua Manchester United.

Photo: #TAARIFA ZA USAJILI WA VIDAL

#Taarifa zina semakua madokta wa Man United wametumwa kumfanyia uchunguzi wa vipimo kiungo huyo wa timu ya Juventus toka nchini Italy kutokana na mchezaji uyo kukabiliwa na maumivu ya goti lake mara kwa mara,hivyo ma daktari hao watamfanyia vipimo vya Goti kabala Man united hawaja fanya maamuzi ya mwisho ya kumnunua.

#Artulo Vidal aongea na kituo cha televisheni cha Chilevisio na ajakanusha kutaka kuondoka juve alisema "nimesikia tetesi nyingi,lakini sijaongelea chochote juu ya taarifa hii,nafurahia mapumziko yangu na nikirudi Italy ndio nitaangalia nini kitatokea,nimetulia kwa sasa.Kila mtu angelipenda kuchezea timu kubwa duniani"
"nime relax kwa sasa na ninafurahia mapumziko yangu na familia yangu pamoja na marafiki.na ninaimani kua mapumziko haya yatanisaidia kupona kwa goti langu siku zijazo"

Vidal aliulizwa juu ya taarifa za yeye kwenda kucheza ligi ya England na alijibu 
"[kicheko] kila mtu anapenda kwenda kuchezea timu kubwa duniani"[chanzo peoples Person]

#Manchester united wamekubalia kumsajili Vidal kwa kiasi cha £32 milioni pamoja na kuwapa juventus beki wake Patrice Evra

#Taarifa zinasema kua Man city wanampango wa kuteka dili la Man united kutaka kumsajili Artulo vidal na hivyo kumnyakua mchezaji huyo kuelekea Etihad

#Like & comment juu ya taarifa hizi
Taarifa zina semakua madokta wa Man United wametumwa kumfanyia uchunguzi wa vipimo kiungo huyo wa timu ya Juventus toka nchini Italy kutokana na mchezaji uyo kukabiliwa na maumivu ya goti lake mara kwa mara,hivyo ma daktari hao watamfanyia vipimo vya Goti kabala Man united hawaja fanya maamuzi ya mwisho ya kumnunua.

Artulo Vidal aongea na kituo cha televisheni cha Chilevisio na ajakanusha kutaka kuondoka juve alisema "nimesikia tetesi nyingi,lakini sijaongelea chochote juu ya taarifa hii,nafurahia mapumziko yangu na nikirudi Italy ndio nitaangalia nini kitatokea,nimetulia kwa sasa.Kila mtu angelipenda kuchezea timu kubwa duniani"
"nime relax kwa sasa na ninafurahia mapumziko yangu na familia yangu pamoja na marafiki.na ninaimani kua mapumziko haya yatanisaidia kupona kwa goti langu siku zijazo"

Vidal aliulizwa juu ya taarifa za yeye kwenda kucheza ligi ya England na alijibu
"[kicheko] kila mtu anapenda kwenda kuchezea timu kubwa duniani"[chanzo peoples Person]

Manchester united wamekubalia kumsajili Vidal kwa kiasi cha £32 milioni pamoja na kuwapa juventus beki wake Patrice Evra

Taarifa zinasema kua Man city wanampango wa kuteka dili la Man united kutaka kumsajili Artulo vidal na hivyo kumnyakua mchezaji huyo kuelekea Etihad

Related Posts:

  • Mbeya City yazidi kubomolewa   Mara baada ya Peter Mwalyanzi pamoja na Deus Kaseke kuondoka katika timu hiyo baada ya kusajiliwa na vilabu vya Simba na Yanga leo tena wameondoka wengine. Pichani hapo ni Paul Nongwa na Anthony Matogolo leo wamej… Read More
  • Bale,Varane,Firmino kupishana na De Gea Man United.Manchester United imeripotiwa kutoa Ofa ya Pauni Milioni 110 kwa ajili ya Gareth Bale na Raphael Varane.Wawili hao pia wanahusishwa na kuhamia Chelsea. Lakini kwa mujibu wa Magazeti ya Spain, Cuatro na El Mundo, Real Madri… Read More
  • Falcao akubali kutua Chelsea.Kama BantuTz tulivyo ripoti hapo mwanzoni kwamba mama yake Falcao alisema kwamba mwanae hana furaha ndani ya Manchester united. Kwa hiyo lazima alikua anatarajiwa kuondoka Old Trafford baada ya msimu kuisha. Habari ikufikie k… Read More
  • BantuTz MAGAZETINI:Soma kilichoandikwa katika kurasa zote za magazeti yote ya leo. MAGAZETINI-Ni uratatibu ambao BantuTz imeuanzisha ili kuwawezesha wadau wote wa Bantu waweze kusomana kupitia kurasa za magazeti mbalimbali nchini kila siku asubuhi ili kuwasogezea karibu zaidi huduma kupata habari nuhimu… Read More
  • Gundogan atua Man UnitedManchester united imezipiku timu za Bayern Munich na Barcelona kwenye vita ya kupata saini ya mchezaji wa Borussia Dortmund. Mchezaji huyo ambae anacheza sehemu ya kiungo amekubaliana mambo ya msingi na Manchester united. Gun… Read More

0 comments:

Post a Comment