Facebook

Friday, 18 July 2014

Wafanyakazi wambaka binti mwenye miaka 6 India.

 Photo: Polisi katika mji wa Bangalore, kusini mwa India wanasema wafanyakazi wawili wa shule moja wanatuhumiwa kumbaka binti mwenye umri wa miaka sita.
Mtoto huyo alifanyiwa kitendo hicho Julai 2, lakini wazazi wake wamegundua hilo siku chache zlizopita, baada ya binti huyo kulalamika maumivu ya tumbo na kupelekwa hospitali.
Mamia ya wazazi wameandamana nje ya shule hiyo, waking'oa mageti na kupiga kelele.
Polisi wamefungua kesi lakini hakuna mtu yeyote aliyekamatwa.
Polisi katika mji wa Bangalore, kusini mwa India wanasema wafanyakazi wawili wa shule moja wanatuhumiwa kumbaka binti mwenye umri wa miaka sita.
Mtoto huyo alifanyiwa kitendo hicho Julai 2, lakini wazazi wake wamegundua hilo siku chache zlizopita, baada ya binti huyo kulalamika maumivu ya tumbo na kupelekwa hospitali.
Mamia ya wazazi wameandamana nje ya shule hiyo, waking'oa mageti na kupiga kelele.
Polisi wamefungua kesi lakini hakuna mtu yeyote aliyekamatwa.

Related Posts:

  • AL Shabaab washambulia ikulu Somalia wapiganaji wa AL shabaab Vikosi vya serikali Somalia vimefanikiwa kuidhibiti upya ikulu ya rais katika mji mkuu Mogadishu baada ya hapo awali wapiganaji wa kiislamu kuishambulia. Maafisa wanasema washambuliaji wapa… Read More
  • Viongozi wa Usalama Somalia wafukuzwa kazi. Maafisa wakuu wa usalama na wa polisi wamefukuzwa kazi kufuatia kundi la al-Shabab kushambulia ikulu ya Somalia, amesema waziri mmoja. Washambuliaji watatu waliuawa na wa nne kukamatwa, imesema ofisi ya rais. Al-Shaba… Read More
  • Wanasayansi wagundua mapya kuhusu Malaria Kulingana na uchunguzi wa vimelea vinavyosababisha Malaria huweza kuishi kwenye  uboho (bone marrow) na kuepuka kinga za mwili na hivyo basi kusababisha maradhi. Uchunguzi huu umedhi… Read More
  • Makanisa kupunguzwa Burundi     Bunge la Burundi limepitisha muswada unaolenga kupambana na "mfumuko wa makanisa" nchini humo. Utafiti wa serikali mwaka jana uligundua kuwepo na madhehebu 557. Sheria mpya zinataka makanisa kuwa na wafua… Read More
  • Kiongozi wa upinzani Ethiopia aonyeshwa kwenye TV Andargachew Tsege alikamatwa akiwa safariki kutoka Milki za kiarabu Kiongozi wa upinzani nchini Ethiopia, Andargachew Tsege, ameonekana kwenye televishen… Read More

0 comments:

Post a Comment