Kocha
wa Man united Lous Van Gaal amekubali kumuuza winga kinda Wilfried Zaha
kwa kiasi cha milioni £7.
katika dirisha la usajili la majira ya joto
baada ya miezi 18 aliyo kaa kinda huyu
katika timu ya Man united baada ya kusajiliwa kwa dau la paundi milioni
15 toka Crystal Palace.
Newcastle United nimoja ya timu ambazo
zimeonyesha nia ya kutaka huduma ya kinda huyo,ambae alishindwa kufanya
vizuuri katika msimu wake wa kwanza katika timu ya Man united
Monday, 7 July 2014
Wilferd Zaha atimkia Newcastle.
Related Posts:
Chicharito atambulishwa Santiago Bernabeu. … Read More
Lewis Holtby ajiunga rasmi Hamburg SV.Kiungo wa Tottenham Lewis Holtby amejiunga na Hamburg ya Ujerumani kwa mkopo hadi mwisho wa msimu. Endelea kutembelea www.bantutz.com. … Read More
Alonso atambulishwa Bayern Munich.Xabi Alonso atambulishwa rasmi FC Bayern München baada ya Kuondoka Real Madrid C.F. … Read More
Alichopost Garry Neville baada ya taarifa usajili wa Falcao.Watu mashuhuri wamekuwa wakitumia kurasa zao za mitandao ya kijamii kutoa taarifa,kupongeza au kukashifu jambo fulani. Lakini leo hii beki wa zamani wa Manchester United na timu ya taifa ya Uingereza ambaye ni mchambuzi wa so… Read More
Tetesi za Usajili Barani Ulaya na BantuTz SPORTSBantuTz SPORTS Taarifa zilizo ingia hivi punde. Klabu ya QPR wanakaribia kumsajili kiungo mkabaji kutoka klabu ya Tottenham,Sandro ambaye anaonekana kukosa nafasi katika kikosi cha Mauricio Pochettino.QPR vilevile wako katika… Read More
0 comments:
Post a Comment