Facebook

Monday, 7 July 2014

Wilferd Zaha atimkia Newcastle.


Kocha wa Man united Lous Van Gaal amekubali kumuuza winga kinda Wilfried Zaha kwa kiasi cha milioni £7.

 katika dirisha la usajili la majira ya joto baada ya miezi 18 aliyo kaa kinda huyu katika timu ya Man united baada ya kusajiliwa kwa dau la paundi milioni 15 toka Crystal Palace.

Newcastle United nimoja ya timu ambazo zimeonyesha nia ya kutaka huduma ya kinda huyo,ambae alishindwa kufanya vizuuri katika msimu wake wa kwanza katika timu ya Man united

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment