Facebook

Monday, 7 July 2014

Zifahamu ziara za Manchester United.

 Photo: Manchester United watakwenda nchini Marekani ikiwa ni ziara yao kwa mechi za majaribio kujiandaa na msimu mpya wa Ligi Kuu ya Uingereza. 

Tarehe 23 mwezi huu dhidi ya LA Galaxy 
Tarehe 26 mwezi huu dhidi ya AS Roma 
Tarehe 29 mwezi huu dhidi ya Inter Milan 
Tarehe 02 mwezi ujao dhidi ya Real Madrid 

Louis Van Gaal amethibitisha hatohitaji kupumzika baada ya kumalizika kwa fainali za kome la dunia na badala yake atajiunga moja kwa moja kuifundisha Manchester United ndani ya masaa 24 akiwa na jopo lake jipya. 
#GGMU 

=/ D.P /=
Manchester United watakwenda nchini Marekani ikiwa ni ziara yao kwa mechi za majaribio kujiandaa na msimu mpya wa Ligi Kuu ya Uingereza.

Tarehe 23 mwezi huu dhidi ya LA Galaxy
Tarehe 26 mwezi huu dhidi ya AS Roma
Tarehe 29 mwezi huu dhidi ya Inter Milan
Tarehe 02 mwezi ujao dhidi ya Real Madrid

Photo: Manchester United watakwenda nchini Marekani ikiwa ni ziara yao kwa mechi za majaribio kujiandaa na msimu mpya wa Ligi Kuu ya Uingereza. 

Tarehe 23 mwezi huu dhidi ya LA Galaxy 
Tarehe 26 mwezi huu dhidi ya AS Roma 
Tarehe 29 mwezi huu dhidi ya Inter Milan 
Tarehe 02 mwezi ujao dhidi ya Real Madrid 

Louis Van Gaal amethibitisha hatohitaji kupumzika baada ya kumalizika kwa fainali za kome la dunia na badala yake atajiunga moja kwa moja kuifundisha Manchester United ndani ya masaa 24 akiwa na jopo lake jipya. 
#GGMU 

=/ D.P /=
Louis Van Gaal amethibitisha hatohitaji kupumzika baada ya kumalizika kwa fainali za kome la dunia na badala yake atajiunga moja kwa moja kuifundisha Manchester United ndani ya masaa 24 akiwa na jopo lake jipya.

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment