Maafisa wa Palestina wanasema kuwa kiongozi mmoja wa kundi la wapiganaji wa kiisamu la 'Islamic Jihad' ameuawa baada ya makaazi yake mjini Beit Hanoun kaskazini mwa Gaza kulipuliwa kwa bomu.
Kiongozi huyo, Hafez Hamad aliuliwa pamoja na watu wengine watano wakiwemo wazazi wake na ndugu zake wawili.
wapalestina nao warusha makombora Israel
Jeshi la Israel linasema kuwa limedingua kombora moja kutoka anga ya mji wa Tel Aviv huku maafisa mjini Jerusalem wakidai kuwa kombora limelipuka katika uwanja mdogo nje ya Jerusalem.
Benjamin Netanyahu wa Israel
Hai a taharuki imetanda nchini Israel baada ya vijana 3 wa nchi hiyo kuuwa katika ukingo wa Magharibi mwezi uliopita.
Tukio hilo lilijibiwa na Israel kwa kumuua kijana mmoja wa kipalestina
0 comments:
Post a Comment