Facebook

Tuesday, 15 July 2014

Adidas waingia mkataba mnono na Manchester United.


 Photo: Mkataba wa addidas kwa Manchester United na makampuni mengine kama msimamo unavyoonesha tano Bora..

1.Klabu; Manchester United
   Kampuni; Adidas
   Thamani(mwaka); £75m
   Miaka 10; £750m 

2.Klabu; Real Madrid
   Kampuni; Adidas
  Thamani(mwaka); £31m
  Miaka 8; £248m

3.Klabu; Chelsea
   Kampuni; Adidas
   Thamani(mwaka);£30m
   Miaka 10; £300m

4.Klabu; Arsenal
   Kampuni; Puma
  Thamani(mwaka); £30m
   Miaka 5; £170m

5.Klabu; Barcelona
   Kampuni; Nike
   Thamani(mwaka); £27m
   Miaka 10; £270m 

Adiddas- Tumeshawishika kutoa ofa nono kwa Manchester United kwa kuwa ni klabu bora duniani. Mkataba huu utatufanya tupige hatua zaidi kimasoko. Shukrani!! 
#GGMU 

(Like & Share) 

=/ D.P /=
 Kampuni ya Adidas imesaini mkataba wa pauni milioni 750 wa kutengeneza jezi za Manchester United kwa miaka kumi kuanzia msimu ujao.
Hatua hii imekuja baada ya mahasimu wao wa Marekani, Nike, kuamua kutoendelea na klabu hiyo mwishoni mwa msimu wa 2014-15.

Nike imekuwa ikiilipa United pauni milioni 23.5 kwa mwaka lakini mkataba huu mpya umevunja rekodi, kwa kulipa pauni milioni 75 kwa msimu, Old Trafford.
Mkataba wa Adidas na mabingwa wa Champions League, Real Madrid wa pauni milioni 31 kwa mwaka ndio ulikuwa mkubwa zaidi.


Photo: ADIDAS KUWAVISHA MANCHESTER UNITED
Kampuni ya Adidas imesaini mkataba wa pauni milioni 750 wa kutengeneza jezi za Manchester United kwa miaka kumi kuanzia msimu ujao.
Hatua hii imekuja baada ya mahasimu wao wa Marekani, Nike, kuamua kutoendelea na klabu hiyo mwishoni mwa msimu wa 2014-15.
Nike imekuwa ikiilipa United pauni milioni 23.5 kwa mwaka lakini mkataba huu mpya umevunja rekodi, kwa kulipa pauni milioni 75 kwa msimu, Old Trafford.
Mkataba wa Adidas na mabingwa wa Champions League, Real Madrid wa pauni milioni 31 kwa mwaka ndio ulikuwa mkubwa zaidi.
Adidas itatoa jezi za kufanyia mazoezi na hata za mechi. Pia Adidas itakuwa na haki ya kipekee ya kusambaza bidhaa zote zenye nembo yake na vilabu hivyo viwili duniani kote.
Awali Nike ilipewa muda wa miezi sita kufikiria iwapo inataka kuendelea kuwa na United. Adidas itatoa jezi za kufanyia mazoezi na hata za mechi. Pia Adidas itakuwa na haki ya kipekee ya kusambaza bidhaa zote zenye nembo yake na vilabu hivyo viwili duniani kote.
Awali Nike ilipewa muda wa miezi sita kufikiria iwapo inataka kuendelea kuwa na United.

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment