Facebook

Thursday, 3 July 2014

Barcelona wameanza mazungumzo na Liverpool ili kumsajili Luis Suarez.

 Photo: BARCA WAANZA MAZUNGUMZO NA LIVERPOOL KUMSAJILI SUAREZ
Barcelona wataanza mazungumzo na Liverpool siku ya Jumatano (Leo) kuhusiana na uhamisho wa Luis Suarez.
Maafisa kutoka klabu hizo mbili watakutana London kujadili mkataba wa mshambuliaji huyo raia wa Uruguay. Suarez, ambaye amesalia na miaka minne kwenye mkataba wake na Liverpool, anatumikia adhabu ya miezi minne kwa kumng'ata Georgio Chiellini wa Italy wakati wa Kombe la Dunia. Liverpool huenda wakakubali kitita cha pauni milioni 80 kwa ajili ya Suares, ambaye alijiunga na Liverpool kutoka Ajax kwa pauni milioni 22.7 mwaka 2011. Hata hivyo inaaminika kuwa Barcelona wanataka kutoa karibu pauni milioni 60. Mkataba wowote huenda ukategemea iwapo Barcelona itamtoa Alexis Sanchez kama sehemu ya kumchukua Suarez.
 Barcelona wataanza mazungumzo na Liverpool siku ya Jumatano (Leo) kuhusiana na uhamisho wa Luis Suarez.
Maafisa kutoka klabu hizo mbili watakutana London kujadili mkataba wa mshambuliaji huyo raia wa Uruguay. Suarez, ambaye amesalia na miaka minne kwenye mkataba wake na Liverpool, anatumikia adhabu ya miezi minne kwa kumng'ata Georgio Chiellini wa Italy wakati wa Kombe la Dunia.
   Liverpool huenda wakakubali kitita cha pauni milioni 80 kwa ajili ya Suares, ambaye alijiunga na Liverpool kutoka Ajax kwa pauni milioni 22.7 mwaka 2011. Hata hivyo inaaminika kuwa Barcelona wanataka kutoa karibu pauni milioni 60. Mkataba wowote huenda ukategemea iwapo Barcelona itamtoa Alexis Sanchez kama sehemu ya kumchukua Suarez.
 
Endelea kutembelea www.bantutz.com uweze kupata taarifa zote zitakazokuwa zinahusiana na usajili katika kipindi hiki cha uasajili barani Ulaya.

Related Posts:

  • Skrtel akataa kusaini kataba mpya Liverpool.  Beki wa klabu ya Liverpool Martin Skrtel amefichua kuwa bado hajasaini mkataba mpya na klabu hiyo kama ambavyo inaripotiwa na baadhi ya vyombo vya habari nchini England pamoja na nyumbani kwao huko Slovakia. Skr… Read More
  • Man City yamuwekea dau Alex SongManchester City imeonyesha nia ya kupata huduma ya mchezaji wa Barca Alex Song ambaye msimu huu alikuwa akicheza kwa mkopo timu ya Westham inayoshiriki.Alex aliyerudi nyumbani Barcelona anaweza kuuuzwa jumla na kujiunga na … Read More
  • Dante atakiwa Man United.Mchezaji wa kimataifa wa Brazil Dante anatakiwa na timu ya Manchester United kwenda Old Trafford msimu huu. Timu ya Manchester ipo tayari kumpa mkataba mchezaji huyo kujiunga na mashetani hao.Lakini mchezaji mwenyewe Dante am… Read More
  • Juventus yamnasa mshambuliaji hatari Paulo Dybala Mabingwa wa ligi kuu ya Italia Juventus leo hii wamethibitisha kukamilisha usajili wa mshambuliaji Paulo Dybala kutoka katika klabu ya Palermo kwa kitita cha euro milioni 32. Mshambuliaji huyo mwenye umri … Read More
  • Benitez amtaka Laurent KoscielnyKocha mpya wa Real Madrid Benitez anataka kumsaini beki wa Arsenal Laurent Koscielny. Ni imani ya kocha wa zamani wa Liverpool na Chelsea atampata Mfaransa huyo kuwa msaidizi wa Sergio Ramos katika ulinzi. Koscielny alisai… Read More

0 comments:

Post a Comment