Facebook

Saturday, 5 July 2014

Di Maria kutua Man Utd.

 Photo: Jorge Mendes - Angel di Maria ataondoka Real Madrid kisha atajiunga na Manchester United baada ya fainali za kombe la dunia. Tumepokea ofa nyingi kutoka klabu tofauti lakini tumeipendekeza Manchester United kwa kuwa tuna mahusiano mazuri. 

Jorge Mendes - wakala wa Luis Nani, Pepe, Fabio Coentrao. James Rodrigues, Angel di Maria, Ramed Falcao na Christiano Ronaldo. 

=/ D.P /=
Jorge Mendes - Angel di Maria ataondoka Real Madrid kisha atajiunga na Manchester United baada ya fainali za kombe la dunia. Tumepokea ofa nyingi kutoka klabu tofauti lakini tumeipendekeza Manchester United kwa kuwa tuna mahusiano mazuri.

Jorge Mendes - wakala wa Luis Nani, Pepe, Fabio Coentrao. James Rodrigues, Angel di Maria, Ramed Falcao na Christiano Ronaldo.
 
Endelea kutembelea www.bantutz.com kupata habari mbalimbali kutoka katika mtandao wetu kwa muda na wkati muafaka bila zemgwe.Kazi yetu ni kukuhabarisha hatutasita kukupa habari pindi tutakapokuwa umetufikia.

0 comments:

Post a Comment