Nemanja
Vidic siku ya kwanza baada ya kuwasili na kujiunga na Inter Milan.
Amewekwa kwenye History na kumbukumbu ya Manchester United kama beki
bora aliyepita katika uongozi wa Manchester United kwa miaka yote.

MAKOMBE ALIYOBEBA AKIWA NA MANCHESTER UNITED!!
Ligi Kuu (mara 5)
2006–07, 2007–08, 2008–09, 2010–11, 2012–13
Kombe la Ligi (mara 3)
2005–06, 2008–09, 2009–10
FA Ngao ya Hisani (mara 5)
2007, 2008, 2010, 2011, 2013
Ligi ya Mabingwa Ulaya (mara 1)
2007–08
Kombe la Dunia la club (mara 1)
2008
Endelea kutembelea www.bantutz.com kupata habari mbalimbali kwa wakati na muda muafaka hususan katika kipindi hiki ncha usajili barani Ulaya.

MAKOMBE ALIYOBEBA AKIWA NA MANCHESTER UNITED!!
Ligi Kuu (mara 5)
2006–07, 2007–08, 2008–09, 2010–11, 2012–13
Kombe la Ligi (mara 3)
2005–06, 2008–09, 2009–10
FA Ngao ya Hisani (mara 5)
2007, 2008, 2010, 2011, 2013
Ligi ya Mabingwa Ulaya (mara 1)
2007–08
Kombe la Dunia la club (mara 1)
2008
Endelea kutembelea www.bantutz.com kupata habari mbalimbali kwa wakati na muda muafaka hususan katika kipindi hiki ncha usajili barani Ulaya.
0 comments:
Post a Comment