Facebook

Friday, 18 July 2014

ISRAEL NA GAZA WASIMAMISHA MAPIGANO KWA MUDA

 Photo: ISRAEL NA GAZA WASIMAMISHA MAPIGANO KWA MUDA
Muda wa saa tano wa kusimamisha mapigano kati ya Israel na Gaza umeanza, siku tisa baada ya mapigano kuzuka.
Waandishi wa habari wanasema, watu wamejipanga nje ya mabenki na foleni za magazi zimeanza kuonekana mitaani wakati watu wakijitokeza kwenda kutafuta mahitaji muhimu.
Mapigano yaliendelea hadi saa nne asubuhi ambapo muda wa kusimamisha mapigano ulipoanza.
Maafisa wa Gaza waansema mashambulio ya Israel yamesababisha vifo vya Wapalestina 227. Mashambulio ya roketi yaliyofanywa na Hamas yamesababisha kifo cha Muisraeli mmoja.
Israel ilianza harakati zake za kijeshi Julai 8 kwa lengo la kuzuia mashambulio ya roketi kutoka Palestina kwenda Israel.
Hata hivyo, Umoja wa Mataifa unasema wengi wa waliouawa Gaza ni raia.
Israel inatuhumu Hamas kwa kuficha vifaa vya kijeshi miongoni mwa raia.

Muda wa saa tano wa kusimamisha mapigano kati ya Israel na Gaza umeanza, siku tisa baada ya mapigano kuzuka.

Waandishi wa habari wanasema, watu wamejipanga nje ya mabenki na foleni za magazi zimeanza kuonekana mitaani wakati watu wakijitokeza kwenda kutafuta mahitaji muhimu.
Mapigano yaliendelea hadi saa nne asubuhi ambapo muda wa kusimamisha mapigano ulipoanza.

Maafisa wa Gaza waansema mashambulio ya Israel yamesababisha vifo vya Wapalestina 227. Mashambulio ya roketi yaliyofanywa na Hamas yamesababisha kifo cha Muisraeli mmoja.

Israel ilianza harakati zake za kijeshi Julai 8 kwa lengo la kuzuia mashambulio ya roketi kutoka Palestina kwenda Israel.
Hata hivyo, Umoja wa Mataifa unasema wengi wa waliouawa Gaza ni raia.
Israel inatuhumu Hamas kwa kuficha vifaa vya kijeshi miongoni mwa raia.

Related Posts:

  • Sudan kusini yakabiliwa na baa la njaa Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa limeelezea uhaba wa chakula nchini Sudan Kusini kama mbaya zaidi kuwahi kuonekana duniani na kuyataka mataifa ambayo yaliahidi kutoa msaada wa zaidi ya dola millioni mia sita ku… Read More
  • Sudan kusini yakabiliwa na baa la njaa Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa limeelezea uhaba wa chakula nchini Sudan Kusini kama mbaya zaidi kuwahi kuonekana duniani na kuyataka mataifa ambayo yaliahidi kutoa msaada wa zaidi ya dola millioni mia sita ku… Read More
  • Ebola yakaribia Nigeria Madaktari wanaokabiliana na ugonjwa wa Ebola nchini Sierra Leone Serikali ya Nigeria imesema kuwa imeweka hali ya tahadhari katika maeneo yote ya kuingia… Read More
  • Gaza:Makubaliano ya saa 12 yaheshimiwa Kiongozi wa Hamas na mwenzake wa Israel Serikali ya Israel na wapiganaji wa Hamas wameanza kutekeleza makubaliano ya kusitisha vita kwa masaa 12 katika … Read More
  • Maandamano yazuka Palestina polisi wakabiliana na raia Palestina Maandamano makubwa yamefanyika katika ukingo wa Magharibi mwa Palestina karibu na mpaka wake na Israel kupinga mashambulio yanayofanywa na Israel. Waandamanaji hao wakiwa na hasi… Read More

0 comments:

Post a Comment