Facebook

Friday, 18 July 2014

Toni Kroos atua rasmi Madrid.

 Photo: Toni Kroos's numbers #WelcomeKroos
Kiungo wa Bayern Munich Toni Kroos amejiunga rasmi na Real Madrid kwa mkataba wa miaka sita kwa kitita ambacho hakikutajwa.
Photo: Toni Kroos will be presented today at 17:00h in the Royal Box at the Santiago Bernabéu #WelcomeKroos Kroos, 24, alikuwa mchezaji muhimu katika kikosi cha Ujerumani kilichoishinda Argentina 1-0 kwenye fainali ya Kombe la Dunia nchini Brazil.
Photo: Toni Kroos, Real Madrid's new signing. The central midfielder joins the Whites after winning the World Cup in Brazil with Germany #WelcomeKroos Kiungo huyo atatambulishwa mbele ya mashabiki wa Real Madrid kwenye dimba la Bernabeu siku ya Alhamisi, baada ya kukamilisha vipimo vya afya.

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment