Facebook

Saturday 31 May 2014

Cristiano Ronaldo ajiunga na timu ya taifa,tazama jinsi alivyowasili

 Screen Shot 2014-05-30 at 12.09.53 PM

Ni juzi tu May 29 2014 Cristiano Ronaldo ametajwa kushika namba moja kwenye list ya mastaa kumi wa soka ambao wanavutia kibiashara na kufanya kazi na makampuni makubwa ya kibiashara duniani.
Hii post inahusu kuwasili kwa Ronaldo kwenye hoteli timu yake ya taifa ya Portugal ilikoweka makazi ya muda kujiandaa na kombe la dunia litakaloanza siku chache zijazo nchini Brazil.
Screen Shot 2014-05-30 at 12.46.45 PM 
Kulikua na mashabiki wengi waliokua wakimsubiria wakiwemo kina mama, baba na watoto ambao wengine walijaribu hata kumgusa, wengine kumsemesha na wengine kumpiga picha.
Screen Shot 2014-05-30 at 12.46.37 PM
Screen Shot 2014-05-30 at 12.02.32 PM
Screen Shot 2014-05-30 at 12.46.22 PM
Yaani huyu mtoto hakuamini kamshika Ronaldo…. hahahha hii picha ya huyu mtoto nimeipenda.

Endelea kutembelea katemimethsela.blogspot.com  kupata habari zote zitakazokuwa zinahusiana na Kombe la dunia.

0 comments:

Post a Comment