Facebook

Friday, 4 July 2014

Mahali yaleta kizaazaa India.

  Photo: MAHARI YAZIDI KULETA KASHESHE INDIA
Mahakama kuu ya India imesema wanawake wanazidi kutumia vibaya sheria zinazokataza malipo ya mahari kwa kuwanyanyasa waume na wakwe zao. Iwapo mwanamke atashtaki kuwa mume wake au ndugu wametaka mahari, hukamatwa mara moja. Lakini wanaume wengi waliokamatwa wamekutwa hawana hatia. Tofauti na sehemu nyingi duniani wanawake ndio hutoa mahari nchini India wanapoolewa. Mahakama sasa imeamrisha polisi kukusanya ushahidi kwanza kabla ya kukamata mtu yeyote kuhusiana na masuala ya mahari. Utoaji mahari ulipigwa marufuku zaidi ya miaka hamsini iliyopita lakini unaendelea kushamiri na wanaharakati wanasema husababisha wanawake kunyanyaswa na hata kuuawa.
MAHARI YAZIDI KULETA KASHESHE INDIA
Mahakama kuu ya India imesema wanawake wanazidi kutumia vibaya sheria zinazokataza malipo ya mahari kwa kuwanyanyasa waume na wakwe zao.
     Iwapo mwanamke atashtaki kuwa mume wake au ndugu wametaka mahari, hukamatwa mara moja. Lakini wanaume wengi waliokamatwa wamekutwa hawana hatia. 
    Tofauti na sehemu nyingi duniani wanawake ndio hutoa mahari nchini India wanapoolewa. Mahakama sasa imeamrisha polisi kukusanya ushahidi kwanza kabla ya kukamata mtu yeyote kuhusiana na masuala ya mahari. 
        Utoaji mahari ulipigwa marufuku zaidi ya miaka hamsini iliyopita lakini unaendelea kushamiri na wanaharakati wanasema husababisha wanawake kunyanyaswa na hata kuuawa.

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment