Ghasia kati ya Palestina na Israel
Marekani imesema kuwa ina wasiwasi mwingi kwamba maafisa wa Polisi wa Israel wamempiga vibaya kijana mmoja raia wa Marekani.
Idara ya maswala ya kigeni imesema kuwa
inashtumu utumiji wa nguvu kupitia kiasi na kutaka uchunguzi wa haraka
na ulio huru kufanywa .Polisi ya Israel inasema kuwa kijana huyo ni miongoni mwa raia sita wa kipalestina waliojihami ambao walikamatwa wakati wa ghasia hizo.
lakini baba ya kijana huyo anasema mwanawe hakuhusika kamwe.
Ghasia hizo zilienea hadi katika miji mingine ya kiarabu nchini Israel siku ya jumamosi kufuatia ripoti kwamba Mohammed Abu Khdeir alichomwa akiwa mzima.
0 comments:
Post a Comment