Facebook

Monday, 14 July 2014

MAYWEATHER KUZICHAPA TENA NA MAIDANA


Photo: MAYWEATHER KUZICHAPA TENA NA MAIDANA
Floyd Mayweather ametangaza kuwa atapanda ulingoni kupambana na Marcos Maidana, Septemba 3 mwaka huu mjini Las Vegas.
Mayweather alimzidi Maidana katika mpambano uliozua utata mwezi Mei, na alisema kuwa atarudiana na Muargentina huyo katika ulingo wa MGM Grand, Las Vegas. Floyd Mayweather ametangaza kuwa atapanda ulingoni kupambana na Marcos Maidana, Septemba 3 mwaka huu mjini Las Vegas.

Mayweather alimzidi Maidana katika mpambano uliozua utata mwezi Mei, na alisema kuwa atarudiana na Muargentina huyo katika ulingo wa MGM Grand, Las Vegas.

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment