Facebook

Friday, 11 July 2014

Nguli wa Filamu India afariki dunia.

 Photo: Mcheza filamu Zohra Sehgal wa India, maarufu kama mkongwe wa Bollywood, amefariki dunia mjini Delhi akiwa na umri wa miaka 102. Mkongwe huyo alianza fani yake kama mcheza dansi na baadaye kuingia katika uigizaji ambapo alijipatia tuzo kadhaa katika filamu za Bollywood. Katika miaka ya 1960 alihamia London ambapo aliishi kwa miaka 30 kabla ya kurejea India. Filamu ambazo ametajwa za Hollywood na za Uingereza ni: Never Say Die, Bend It Like Beckham, The Jewel in the Crown, My Beautiful Laundrette na Bhaji on the Beach.
Mcheza filamu Zohra Sehgal wa India, maarufu kama mkongwe wa Bollywood, amefariki dunia mjini Delhi akiwa na umri wa miaka 102.
 Mkongwe huyo alianza fani yake kama mcheza dansi na baadaye kuingia katika uigizaji ambapo alijipatia tuzo kadhaa katika filamu za Bollywood. Katika miaka ya 1960 alihamia London ambapo aliishi kwa miaka 30 kabla ya kurejea India. 
 
Filamu ambazo ametajwa za Hollywood na za Uingereza ni: Never Say Die, Bend It Like Beckham, The Jewel in the Crown, My Beautiful Laundrette na Bhaji on the Beach.

Related Posts:

  • Picha za Gari jipya la Ney wa Mitego.   Mastaa mbalimbali wa Tanzania wamekua wakionyesha magari yao ambayo mengi yamekua ya kifahari,kwa mwaka 2014 ni mwaka unaonyesha wasanii wengi kumiliki magari ya gharama zaidi,mpaka sasa ni zaidi ya wasanii watano … Read More
  • Mbasha:Gwajima niachie mke wangu Flora MUME wa mwimba Injili Bongo, Flora Mbasha anayedaiwa kumbaka binti wa miaka 17 (jina lipo), Emmanuel Mbasha ameibuka mzimamzima na kumtaka Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Uzima na Ufufuo la jijini Dar, Josephat… Read More
  • Rapper Lil Kim ajifungua mtoto wa kike Rapper Lil Kim aliyezaliwa miaka 39 iliyopita, siku ya jana June 9 saa 3 na dakika 58 alijifungua asubuhi katika hospitali ya Hackensack University Medical Center iliyoko New Jersey, Marekani, kwa mujibu wa Huffingt… Read More
  • Harrison Ford aumia aki"shoot" filamu.   Nyota wa filamu wa Marekani Harrison Ford ameumia wakati akiigiza filamu mpya ya Star Wars: Episode VII. Ford amepelekwa hospitali baada ya kuangukiwa na mlango katika studio za Buckinghamshire, Uingereza. Haifahami… Read More
  • Riyama Ali:"Nikifa Sitaki Kusifiwa" RIYAMA Ali mwigizaji wa kike asiye na kashifa katika tasnia ya filamu Bongo, amefunguka kwa kusema kuwa kama kuna msanii mwenzake au mtu mwenye mapenzi naye angependa kama ana sifa kuhusu yeye katika umahiri wa kuigiza… Read More

0 comments:

Post a Comment