Facebook

Wednesday, 9 July 2014

Rais wa Brazil awataka wananchi kuwa "Ngangari"

Salim Kikeke's photo.


Rais wa Brazil Dilma Rousselff ameitaka nchi yake 'kujinyanyua' baada ya kichapo cha mabao 7-1 dhidi ya Ujerumani katika Kombe la Dunia.

Salim Kikeke's photo.
"Kama Wabrazil wote, nimesikitishwa sana sana baada ya kufungwa. Lakini hatutosononeka," rais huyo ame - tweet.
Kocha wa Brazil Luiz Filipe Scolari amesema kupoteza mchezo huo ilikuwa "siku yake mbaya zaidi maishani mwake".

Salim Kikeke's photo. Vyombo vya habari vya Brazil vimeandika habari za jinsi watu walivyopokea mshtuko huo wa matokeo siku ya Jumatano, vikieleza matokeo hayo kuwa ni "udhalilishwaji wa kihistoria". Matokeo hayo ni mabaya zaidi katika historia ya Brazil katika Kombe la Dunia.

Endelea kutembelea www.bantutz.com kupata habari mbalimbali kwa muda na wakati muafaka.

Related Posts:

  • HAYA NDO MAPYA YALIYOBUKA OLD TRAFORD KUHUSU ROJO Mlinzi Marcos Rojo aliyesajiliwa Manchester United kutoka Sporting Lisbon ya Ureno anakabiliwa na shauri la jinai kwao Argentina, na ndilo linamzuia kuanza kuchezea timu yake mpya. Hadi Jumapili hii asubuhi alikuwa hajapatiw… Read More
  • Baada ya "Magumashi" Evodius Mtawala aachia ngazi TFF Mkurugenzi wa wa Vyama na Masuala ya Kisheria katika Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Evodius Mtawala, amelazimika kuachia ngazi kutokana na sababu mbalimbali. Taarifa ambazo tumezipata, zinaeleza kuwa Mtawala ambaye aliwah… Read More
  • Tambwe afungua akaunti ya magoli.Mfungaji bora wa Ligi Kuu Bara msimu uliopita, Khamisi Tambwe ameanza kuonyesha makali baada ya kupiga bao mbili katika mechi ya jana usiku Simba ilipoiadhibu KMKM ya Zanzibar kwa mabao 5-0. Tambwe raia wa Burundi alipiga bao… Read More
  • Wenger apanda ndege kuelekea Roma,Italy Arsene Wenger ameonekana akipanda ndege kutoka London kwenda Rome, Italy. Meneja huyo amekubali kuwa meneja wa timu itakayocheza mechi maalum ya amani, katika mchezo wa soka wa unaojumuisha imani mbalimbali ulioandaliwa na P… Read More
  • Wachezaji waliosajiliwa kwa bei ghali msimu huu 2014/151. Luis Suarez €88m 2. James Rodriguez €80m 3. Angel di Maria €75m 4. David Luiz €49.5m 5. Eliquim Mangala €44.5m 6. Diego Costa €44m 7. Alexis Sanchez €40m 8. Luke Shaw € 37.8 … Read More

0 comments:

Post a Comment