Rais wa Brazil Dilma Rousselff ameitaka nchi yake 'kujinyanyua' baada
ya kichapo cha mabao 7-1 dhidi ya Ujerumani katika Kombe la Dunia.

"Kama Wabrazil wote, nimesikitishwa sana sana baada ya kufungwa. Lakini hatutosononeka," rais huyo ame - tweet.
Kocha wa Brazil Luiz Filipe Scolari amesema kupoteza mchezo huo ilikuwa "siku yake mbaya zaidi maishani mwake".

Endelea kutembelea www.bantutz.com kupata habari mbalimbali kwa muda na wakati muafaka.
0 comments:
Post a Comment