Facebook

Wednesday, 9 July 2014

Mnachester City wazidi kujiimarisha kwa kusajili kipa mwingine.

 Photo: CITY WASAJILI KIPA MWINGINE
Manchester City wamemsajili kipa wa Malaga Willy Caballero. Muargentina huyo mwenye umri wa miaka 32, amesaini mkataba wa miaka mitatu kwa kitita ambacho hakikutajwa. Caballero, aliyecheza chini ya Manuel Pellegrini wakati akiwa Malaga, alikuwa jijini Manchester siku ya Jumatatu kwa ajili ya vipimo vya afya. Anakuwa mchezaji wa tatu kusajiliwa na mabingwa wa England, baada ya Fernando kutoka Porto na beki wa zamani wa Arsenal, Bacary Sagna. Caballero anatarajiwa kuwa kipa wa akiba na pia kutoa changamoto wa kipa namba moja wa Englad Joe Hart.

Manchester City wamemsajili kipa wa Malaga Willy Caballero. Muargentina huyo mwenye umri wa miaka 32, amesaini mkataba wa miaka mitatu kwa kitita ambacho hakikutajwa.
 Caballero, aliyecheza chini ya Manuel Pellegrini wakati akiwa Malaga, alikuwa jijini Manchester siku ya Jumatatu kwa ajili ya vipimo vya afya.
 Anakuwa mchezaji wa tatu kusajiliwa na mabingwa wa England, baada ya Fernando kutoka Porto na beki wa zamani wa Arsenal, Bacary Sagna. Caballero anatarajiwa kuwa kipa wa akiba na pia kutoa changamoto wa kipa namba moja wa Englad Joe Hart.

Related Posts:

  • Nyota wa Nigeria asajiliwa West Brom.   West Brom wamemsajili mshambuliaji kutoka Nigeria Brown Ideye kwa kitita kinachodhaniwa kuwa pauni milioni 10. West Brom wametangaza kuwasili kwa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 25 akitokea Dynamo Kiev siku y… Read More
  • Brazil kumtangaza kocha mpya Aliyekuwa mkufunzi wa timu ya soka ya Brazil Luiz Felipe Scolari Brazil inatarajiwa kumtangaza mkufunzi wake mpya katika … Read More
  • Patrice Evra ajiunga rasmi Juventus.   Patrice Evra amekamilisha uhamisho wake kutoka Manchester United kwenda Juventus. Beki huyo wa kushoto kutoka Ufaransa amekaa Old Trafford tangu mwaka 2006.  Manchester United ime tweet ikisema: "Patrice … Read More
  • Tetesi za usajili katika magazeti mbalimbali barani Ulaya. Jose Mourinho hatomuuza Romelu Lukaku, 21, msimu huu (Sun),  Arsenal wanajiandaa na maisha bila Thomas Vermaelen baada ya Manchester United kupanda dau la pauni milioni 10 kumchukua beki huyo wa Ubelgiji (Dai… Read More
  • Gerrard astaafu rasmi soka la kimataifa.    Nahodha wa timu ya taifa ya England Steven Gerrard, 34, amestaafu kucheza soka la kimataifa. Akizungumza kwenye tovuti ya chama cha soka cha England FA amesema: "nimefurahia kila dakika niliyowakilisha nc… Read More

0 comments:

Post a Comment