Facebook

Wednesday, 9 July 2014

Mnachester City wazidi kujiimarisha kwa kusajili kipa mwingine.

 Photo: CITY WASAJILI KIPA MWINGINE
Manchester City wamemsajili kipa wa Malaga Willy Caballero. Muargentina huyo mwenye umri wa miaka 32, amesaini mkataba wa miaka mitatu kwa kitita ambacho hakikutajwa. Caballero, aliyecheza chini ya Manuel Pellegrini wakati akiwa Malaga, alikuwa jijini Manchester siku ya Jumatatu kwa ajili ya vipimo vya afya. Anakuwa mchezaji wa tatu kusajiliwa na mabingwa wa England, baada ya Fernando kutoka Porto na beki wa zamani wa Arsenal, Bacary Sagna. Caballero anatarajiwa kuwa kipa wa akiba na pia kutoa changamoto wa kipa namba moja wa Englad Joe Hart.

Manchester City wamemsajili kipa wa Malaga Willy Caballero. Muargentina huyo mwenye umri wa miaka 32, amesaini mkataba wa miaka mitatu kwa kitita ambacho hakikutajwa.
 Caballero, aliyecheza chini ya Manuel Pellegrini wakati akiwa Malaga, alikuwa jijini Manchester siku ya Jumatatu kwa ajili ya vipimo vya afya.
 Anakuwa mchezaji wa tatu kusajiliwa na mabingwa wa England, baada ya Fernando kutoka Porto na beki wa zamani wa Arsenal, Bacary Sagna. Caballero anatarajiwa kuwa kipa wa akiba na pia kutoa changamoto wa kipa namba moja wa Englad Joe Hart.

0 comments:

Post a Comment