WENGER "YUKO MACHO" KUTAFUTA
MSHAMBULIAJI
Meneja wa Arsenal Arsene Wenger anataka
kununua mshambuliaji mpya kabla ya dirisha
la usajili kufungwa Jumatatu.
Huku mshambuliaji wao Olivier Giroud akiwa
majeruhi, Arsenal walilazimishwa sare ya 1-1
na Leicester iliyopanda…Read More
Chicharito ajiunga Real MadridChicharito amejiunga rasmi na klabu ya
nchini spain Real Madrid kwa mkopo wa
mwaka mmoja na chaguo la kuuzwa moja
kwa moja mwisho wa msimu kwa dau la paundi
milion 22
…Read More
MANCHESTER UNITED YARUDI TENA KWA
JORGE MENDES
Hali inazidi kuchafuka barani ulaya,ndege
zinazidi kupishana hii inatoka huku nyingine
inatoka kule kwaajili ya kukamilisha jambo.
Sasa kuna habari imetoka kwamba uongozi
wa United wameamua kumwendea JORGE
MENDES wakala wa R…Read More
Falcao akubali kutua Manchester United kwa mkopo wa Muda mrefu.Taarifa tulioipata BantuTz SPORTS hivi punde ni kwamba mshambuliaji hatari kutoka Klabu ya AS Monaco ya Ufaransa amekubali kujiunga na Manchester United kwa mkopo wa Muda mrefu huku akiwa anapokea mshahara unaokadiriwa kuwa P…Read More
ARSENAL YAJITOA KUMUWANIA REMYKlabu ya Arsenal imejitoa ghafla katika mbio za
kuifukuzia saini ya mshambuliaji wa QPR
Mfaransa Loic Remy masaa machache baada ya
kudaiwa kuwa imerudi kumuwania tena siku ya
jana.
Sasa milango iko wazi kwa nyota huyo kutua
C…Read More
0 comments:
Post a Comment