Facebook

Monday, 7 July 2014

Van Gaal na Uholanzi yenye Mbinu Nyingi.

  Aloysius Paulus Maria van Gaal

2010 pale South Africa tuliishuhudia Uholanzi bora yenye kina Van Bomel,Sneijder wa Inter Milan.
 Photo: Great performance from the team yesterday! 8-1 vs Hungary.
Ilikuwa Uholanzi ambayo kabla hujakutana nayo unaogopa lakini walikosa bahati dhidi ya Spain usiku ambao Arjen Robben hatousahau katika maisha yake....
kikosi hiko kikaanza kupukutika kwa kocha wao kujiuzulu,captain kustaafu na wengi wa wachezaji wao kushuka viwango..
 Photo: Tonight vs Hungary! Let's do this... #Oranje
Louis Van Gaal alipochukua mikoba akaitengeneza tena uholanzi kupitia vijana na kuifanya ishinde mechi tisa za kufuzu lakini tatizo likatokea mara baada ya kuumia Kevin Strootman ambaye alikuwa mchezaji muhimu katika mfumo wao wa 4~3~3...
Maswali yakaja,je uholanzi watachezaje bila strootman? je watazoea mfumo mpya kwa muda mfupi?...

Lakini Louis Van Gaal ameyajibu hayo akaleta 3~5~2, akamfanya Kuyt ajihisi bado kijana, akampa Robben nafasi ajihisi yeye ni mtu muhimu,na pia kumfanya Sneijder ajione kama yule wa miaka minne iliyopita..angalia sub aliyofanya leo kisha angalia wapiga penalt aliowachagua wote ni wazoefu ..


 MBINU ALIYOITUMIA KUWAMALIZA MEXICO.

kocha wa uholanz Van Gaal alisema kuwa alitumia zile dakika za mapumziko ya kunywa maji kwa wachezaji kubadirisha mifumo ya uchezaji
 Manchester United swahili News's photo.
"nilikua nikitumia[mapumziko] kubadili mfumo kwenda 4-3-3 na baada ya pale tulitengeneza nafasi nyingi" Van Gaal alieleza baada ya filimbi ya mwisho katika dimba la Fortaleza

Manchester United swahili News's photo. Photo: Check out the video highlights with all goals of The Netherlands against Mexico (2-1) here: http://bit.ly/highlights-NEDMEX
"Baada ya hapo tulikua timu bora na Ochoa aliokoa magoli vizuri sana,ni njia ya akili sana niliyo itumia kuwa tumia wachezaji"
 Tony Pentax's photo.

Photo: An exciting moment for the Netherlands, the penalty of Huntelaar! See here how Huntelaar's goal was celebrated in Holland:  http://bit.ly/1vr9KAh Photo: The Netherlands came back from the brink on Monday to defeat Mexico 2-1 in the dying minutes of the game. The win puts Louis van Gaal's men through to the quarter-final. Read more: http://bit.ly/1z02Vdq
"wachezaji walionesha wanataka kushinda mpaka mwisho wa mpira,hali ya hewa haikua nzuri kwa upande wetu lakini tulipambana mpaka mwisho,ushindi huu utatupa uwezo mkubwa sana wakujiamini"

 Mohamed Shaiye Mohamud's photo.
Namkumbuka Yesu Kristu Alipoulizwa Na Je,?? Kama Watwambie Eeh Bwana Wetu Njia Ya Wokovu Ndio Uzima Wa Milele Kwa Vipi Tuache Mali Pamoja Na Fedha Zetu Za Biashara Yesu Alijibu kwa lugha ya kimombo "the Caesar Belong To Caesar And The Lord Belong To Lord". "Ya Kaisari mwachie kaisari na Ya Mungu mwachie Mungu"

Hapa Namuona Van Gaal akikaribia kutimiza ndoto za Wadachi ya kubeba Kombe naona jinsi anavyo Wadanganya wapinzani.

 Anatumia 4-3-3 lakn nyuma ya Pazia Ni 4-3-1-2 lakini Roben anacheza Kumi ya kuuakatikati, viungo watatu wanazunguka na kubadilishana nafasi lakn wawili ni mawinga Kuyt na Humphers Huku viungo wakipokeza na Kucheza Bruno Marten Indi.
"Ya Van Gaal Mpe Van Gaal "
 Imeandaliwa na......
                                Katemi Methsela  

Related Posts:

  • Van Gaal aimwagia sifa timu yake.Meneja wa Klabu ya Manchester United Louis van Gaal ambaye baada ya Ushindi wa jana mabao 3-2 dhidi ya Southampton sasa amesema kikosi chake kina uwezo wa kuchukua ubingwa wa Ligi ya England katika msimu huu wa ligi. Ushindi … Read More
  • Real Madrid yamnasa mkimbizi Osama.Soka limetumika sana kusambaza upendo kwenye ishu ya wakimbizi wa Syria ambayo imetoka wiki chache zilizopita. Stori ya mkimbizi huyu Osama Abdul Mohsen ambapo video yake ilisambaa akiwa amembeba mwanae anakimbia huku mpiga p… Read More
  • YANGA YATUMA SALAMU MSIMBAZILigi Kuu ya Tanzania Bara imeendelea leo kwa kushuhudia viwanja vinne vikiwaka moto, ambapo katika uwanja wa Taifa Dar es salaam, mabingwa watetezi Yanga wamepata ushindi wa tatu mfululizo kwa kuichapa JKT Ruvu mabao 4-1. Mab… Read More
  • Costa na Gabriel washtakiwa na FA.Mshambuliaji wa Chelsea Diego Costa ameshtakiwa kwa madai ya kutaka kuzua ghasia ambayo hayakuonekana na maafisa wa mechi hiyo lakini ambayo yalinaswa katika ukanda wa video. Mshambuliaji huyo alihusishwa katika kisa na beki … Read More
  • Rais Kikwete akagua kituo cha Michezo cha Kidongo Chekundu kinachojengwa na Klabu ya Sunderland,  Rais Jakaya Mrisho kikwete akitambulishwa na Mkurugenzi wa kampuni ya umeme ya Symbion Bw. Paul Hicks kwa kocha wa vija na kutoka Uingereza anayetambuliw3a na FIFA ambaye atakuwa mkufunzi Mkuu katika kituo hicho wa… Read More

0 comments:

Post a Comment