Facebook

Thursday, 10 July 2014

Gazeti lamuomba msamaha nyota wa Filamu.

 Photo: GAZETI LAMUOMBA RADHI NYOTA WA FILAMU
Gazeti moja la Uingereza limemuomba radhi mwigizaji nyota wa Marekani George Clooney, juu ya tuhuma ilizochapisha kuwa mama wa mchumba wake alikataa asifunge ndoa na mwanae kwa sababu za kidini. Nyota huyo wa Hollywood, Clooney, amemchumbia Amal Alamuddin- ambaye ni mwanasheria- mwenye asili ya Lebanon, anayetoka katika jamii ndogo ya Druse ambao ni Waislam. Gazeti hilo, The Daily Mail liliripoti kuwa mama wa mchumba wa Clooney alimtaka mwanaye huyo kuolewa na mtu kutoka jamii ya Druse. Gazeti hilo sasa limekiri kuwa taarifa hiyo si ya ukweli na limeomba radhi kwa mtafaruku wowote uliotokana na habari hiyo.
 

Gazeti moja la Uingereza limemuomba radhi mwigizaji nyota wa Marekani George Clooney, juu ya tuhuma ilizochapisha kuwa mama wa mchumba wake alikataa asifunge ndoa na mwanae kwa sababu za kidini. 
 
Nyota huyo wa Hollywood, Clooney, amemchumbia Amal Alamuddin- ambaye ni mwanasheria- mwenye asili ya Lebanon, anayetoka katika jamii ndogo ya Druse ambao ni Waislam. 
 
Gazeti hilo, The Daily Mail liliripoti kuwa mama wa mchumba wa Clooney alimtaka mwanaye huyo kuolewa na mtu kutoka jamii ya Druse. 
   Gazeti hilo sasa limekiri kuwa taarifa hiyo si ya ukweli na limeomba radhi kwa mtafaruku wowote uliotokana na habari hiyo.

0 comments:

Post a Comment