|
Natumaini mko pouwa wadau wa BantuTz.Leo ningependa tupeane ujuzi kuhusu software
hii inayoitwa youtube downloader ambayo pia ni converter kwa baadhi ya
formats na kubadilisha ukubwa wa nyimbo (song length)
JINSI INAVYOTUMIKA Kwanza unapoifungua tu itaonekana kama picha hyo apo juu Ukitaka kudownload videos kutoka YouTube basi unachofanya ni ku-COPY video URL alafu unapaste tu na kudownload kama inavyoonekana hapa. Na Hivi ndivyo itakavyokuwa inaonekana wakati ikitaka download Wakati ukitaka CONVERT sasa ile audio kwa ishu kama za ku-CUT na kuiweka kwa format unayotaka wewe unafanya hivi. Click TAB ya CONVERT alafu sasa ka BROWSE ile FILE (Video/audio) alafu chagua format unayotaka na kisha unaweza chagua advanced options kwa ku-TICK apo....Kama inavyoonekana hapa Baada ya Hapo sasa itaonekana kama hivi kwenye zoezi zima la CONVERTING. Tazama vizuri hapo uone namna ambayo mimi nimeEDIT audio/video file yangu nmeamua ianzie SEKUNDE YA 10 na iishie na DAKIKA 03:36 Hii inafanyika mara nyingi kama hutaki maneno/sauti zinazoanza/kuishia wakati wa nyimbo. Na hapa sasa ndo kazi inavyofanyika Kama vipi idownload itumie uwezavyo alafu tupatie feedback mdau....Kama TOPIC imekusaidia SAY THANKYUUUUU, na Quick Reply tupeane FEEDBACK Download Here
Imeandaliwa na..........
Kwa msaada wa~Complex System
|
Wednesday, 9 July 2014
Jifunze namna ya kudownload vitu katika Smartphone (Youtube Downloader na Converter Program)
Related Posts:
Hali ni tete Chuo Kikuu Dar Es Salaam,Masomo yahairishwa,Wanafunzi waandamana wakidai fedha za kujikimu.Hapo jana BantuTZ.com tuliripoti kuhusiana na mgomo wa wanafunzi wa Chuo Kikuu hapo jama usiku kwa wale wanaoishi 'Mabibo Hostel'. Lakini muda huu mgomo huo umehamia katika eneo la Chuo Kikuu Cha DSM. Matamko ya viongozi wa S… Read More
BantuTz MAGAZETINI:-Soma kilichoandikwa katika kurasa za Magazeti mbalimbali ya leo Jumamosi,Mei 16. MAGAZETINI-Ni uratatibu ambao BantuTz imeuanzisha ili kuwawezesha wadau wote wa Bantu waweze kusomana kupitia kurasa za magazeti mbalimbali nchini kila siku asubuhi ili kuwasogezea karibu zaidi huduma kupata hab… Read More
Wanafunzi wa Chuo Kikuu DSM wanaokaa Mabibo Hostel waamua kugoma baada ya kucheleweshewa pesa za kujikimu "Boom"BantuTz BREAKING NEWS Habari zilizotufikia BantuTz.com hivi punde ni kwamba wanafunzi wa chuo kikuu Dsm wanaoishi mabibo hostel wameamua kuandamana kisa kikiwa ni kucheleweshewa pesa zao za kujikimu kutoka kwa serikali. Sakat… Read More
BantuTz MAGAZETINI:Soma kilichoandikwa katika magazeti yote ya leo Jumatano,Mei 20. MAGAZETINI-Ni uratatibu ambao BantuTz imeuanzisha ili kuwawezesha wadau wote wa Bantu waweze kusomana kupitia kurasa za magazeti mbalimbali nchini kila siku asubuhi ili kuwasogezea karibu zaidi huduma kup… Read More
BantuTz MAGAZETINI:Soma kilichoandikwa katika magazeti mabalimbali ya leo Jumatano,Mei 13 2015. BantuTz MAGAZETINI-Ni uratatibu ambao BantuTz imeuanzisha ili kuwawezesha wadau wote wa Bantu waweze kusomana kupitia kurasa za magazeti mbalimbali nchini kila siku asubuhi ili kuwasogezea karibu zaidi huduma kupata … Read More
0 comments:
Post a Comment