Facebook

Friday, 11 July 2014

Makanisa kupunguzwa Burundi

 Photo: MAKANISA 'KUMULIKWA' BURUNDI
Bunge la Burundi limepitisha muswada unaolenga kupambana na "mfumuko wa makanisa" nchini humo.
Utafiti wa serikali mwaka jana uligundua kuwepo na madhehebu 557. Sheria mpya zinataka makanisa kuwa na wafuasi wasiopungua 500 na jengo rasmi. 
Makanisa ya kiinjili yaliibuka wakati, na baada ya vita vya muda mrefu vya wenyewe kwa wenyewe vilivyomalizika mwaka 2005.
Mwandishi wa BBC mjini Bujumbura, Prime Ndikumagenge anasema muswada huo umepita bila kupingwa katika bunge na hauna dalili za kupingwa katika bunge la seneti. Iwapo hakuna mabadiliko yatafanywa katika muswada huo, lazima utiwe saini na rais ndani ya siku 30, au kurejeshwa tena kwa wabunge ili kutazamwa tena. Mara baada ya muswada huo kufanywa kuwa sheria, makanisa yatakuwa na mwaka mmoja kuanza kufuata sheria hiyo. 
Ni jambo la kawaida kuona mahema yakigeuzwa kuwa makanisa pembezoni mwa barabara, amesema mwandishi wa BBC.
 
Bunge la Burundi limepitisha muswada unaolenga kupambana na "mfumuko wa makanisa" nchini humo.
Utafiti wa serikali mwaka jana uligundua kuwepo na madhehebu 557. Sheria mpya zinataka makanisa kuwa na wafuasi wasiopungua 500 na jengo rasmi.
Makanisa ya kiinjili yaliibuka wakati, na baada ya vita vya muda mrefu vya wenyewe kwa wenyewe vilivyomalizika mwaka 2005.
Mwandishi mmoja anasema muswada huo umepita bila kupingwa katika bunge na hauna dalili za kupingwa katika bunge la seneti. Iwapo hakuna mabadiliko yatafanywa katika muswada huo, lazima utiwe saini na rais ndani ya siku 30, au kurejeshwa tena kwa wabunge ili kutazamwa tena. Mara baada ya muswada huo kufanywa kuwa sheria, makanisa yatakuwa na mwaka mmoja kuanza kufuata sheria hiyo.
Ni jambo la kawaida kuona mahema yakigeuzwa kuwa makanisa pembezoni mwa barabara,

Related Posts:

  • BantuTz MAGAZETINI:Soma kilichoandikwa katika magazeti yote ya leo Jumanne,Juni 2. MAGAZETINI-Ni uratatibu ambao BantuTz imeuanzisha ili kuwawezesha wadau wote wa Bantu waweze kusomana kupitia kurasa za magazeti mbalimbali nchini kila siku asubuhi ili kuwasogezea karibu zaidi huduma kupata habari nuhimu… Read More
  • Watu zaidi ya 400 wazama na Meli China Meli ikiwa imebeba zaidi ya watu 450 imezama baada ya kukumbwa na upepo mkali katika Mto Yangtze kusini mwaChina. Kwa mujibu wa shirika la habari la serikali Xinhua watu wanane wameokolewa mpaka sasa na kazi inaendelea y… Read More
  • Waandamana wakiwa Uchi Uganda.Wanawake katika kijiji kimoja cha kazkazini mwa Uganda wamefanya maandamano wakiwa uchi kutokana na mgogoro wa ardhi kati ya utawala wa eneo hilo na jamii ambao umeendelea kwa takriban miaka 10. Wakati wa maandamano hayo ,maw… Read More
  • Benki Kuu Nigeria yakumbwa na kashfa ya Ufisadi.Wakuu katika shrika la kupambana na rushwa nchini Nigeria wanasema maafisa kadhaa kutoka benki kuu ya nchi hiyo wamepelekwa mahakamani kwa tuhuma za ufisadi wa kiasi kikubwa cha fedha za thamani ya mamilioni ya dola. Pia baad… Read More
  • Huu ndio mti unaosababisha Ebola GuinneaKuna mti unaodaiwa kusababisha mlipuko wa Ebola nchini Guinea.Kundi moja la wavulana liliwapeleka mwandishi katika mti huu. Walielezea kwamba siku moja waliwasha moto katika mti huo na popo wakaanguka kutoka kwa mti huo. &n… Read More

0 comments:

Post a Comment