Facebook

Monday, 1 June 2015

Waandamana wakiwa Uchi Uganda.

Wanawake katika kijiji kimoja cha kazkazini mwa Uganda wamefanya
maandamano wakiwa uchi kutokana na mgogoro wa ardhi kati ya
utawala wa eneo hilo na jamii ambao umeendelea kwa takriban miaka
10.
Wakati wa maandamano hayo ,mawaziri wa serikali na watafiti
walipanga kukata kipande cha ardhi katika kijiji cha Apaa huko
Amuru.
Maandamano
Utawala wa wanyama pori nchini Uganda unaamini kwamba watu
wanavamia ardhi ya uhifadhi wa wanyama pori huku wakaazi wakidai
kwamba ardhi hiyo ilikuwa ya mababu zao.

Katika kabila la Acholi ,mwanamke
anapovua nguo na kusalia uchi ni zaidi ya kupigana kwa kuwa inatoa
laana kwa mpinzani wake.

Related Posts:

  • Watu wapatao 32 wamefariki katika maporomoko ya ardhi Hiroshima-Japan. Maporomoko ya ardhi yametokea katika eneo la makaazi ya watu karibu na mlima katikavitongoji vya mji wa Hiroshima. Maporomoko hayo yamesababishwa na mvua kubwa zilizonyesha kwa saa 24 kuamkia Jumatano asubuhi zikiwa sawa na … Read More
  • Kuku aishi bila kichwa;wengi wapigwa bumbuwazi !  Wakazi wa Kware wakimwangalia jogoo asiye na kichwa ila anatembea!  Wakazi wa eneo la Kware huko Ongata Rongai nchini Kenya wako kwenye mshangao mkubwa kwa kioja ambacho wengi mnaweza msiamini kusikia. Maajabu ha… Read More
  • Watoto wa ajabu wazaliwa India.Watoto mapacha wa kiume wamezaliwa huko India wakiwa na vichwa viwili katika mwili mmoja kitu ambacho inasemekana ni nadra sana kutokea. Madaktari wamesema wanaamini wanauwezo wa kuokoa maisha ya watoto hao ambao wamezaliwa J… Read More
  • Shule UN yashambuliwa Palestina Uharibufu ulionywa Gaza na majeshi ya Israel Afisa mmoja wa Umoja wa Mataifa kutoka eneo la Gaza wamesema kuwa wana Shule ya Umoja wa Mataifa ambayo maelfu ya wapalestina walikuwa wameifanya kama makazi imepigwa na… Read More
  • Hatimaye dawa ya Ebola yapatikana. Tabasamu la matumaini baada ya kupata ahueni ya Ebola Hospitali moja nchini Marekani imewaruhusu wamisionary wawili wa kimarekani ambao walikua wakipata … Read More

0 comments:

Post a Comment