Chelsea wapo tayari kumuuza John Obi Mikel, 27, wakati wanapanga
kumnyatia kiungo wa Real Madird Sami Khedira, 27 ambaye pia anatakiwa na
Arsenal (Daily Express),
Arsenal wanatarajia kuthibitisha siku ya
Alhamisi usajili wa kiungo wa Newcastle Mathieu Debuchy, 28, kwa pauni
milioni 10 (London Evening Standard),
Tottenham watampa beki Jan
Vertonghen, 27, mkataba mpya wa miaka mitano, pamoja na kuongeza
mshahara hadi pauni 45,000 kwa wiki (Daily Mail),
Kocha mpya wa Manchester United Louis van Gaal anataka kuwaondoa takriban
wachezaji kumi wakiwemo Ashley Young, Patrice Evra, Fellaini, Nick
Powell, Anderson, Javier Hernandez, Wilfried Zaha, Nani, Tom Cleverly,
Chris Smalling na Bebe (Daily Star na Daily Mirror),
Mark Hughes wa
Stoke City yuko karibu kumchukua winga wa Liverpool Oussama Assaidi, 25
kwa uhamisho wa takriban pauni milioni 7 (Daily Telegraph),
Meneja wa
QPR Harry Redknapp anapanga kumchukua beki wa kati wa Aston Villa Ron
Vlaar kwa pauni milioni 4 (Birmingham Mail),
Liverpool watapambana na
Tottenham kumwania beki wa kushoto wa Swansea Ben Davies (Daily Star),
Toni Kroos anajiandaa kuhamia Real Madrid kwa mkataba wa euro milioni 30
akitokea Bayern Munich (Bild). Tetesi nyingine kesho tukijaaliwa.
Related Posts:
Tetesi zote za Usajili wa wachezaji barani Ulaya siku ya leo.Dau la Manchester United la
pauni milioni 110 kwa Real Madrid kumtaka Gareth Bale, 25 na beki
Rafael Varane, 22 limekataliwa na klabu hiyo ya La Liga (Daily Express),
Real Madrid wana uhakika wa kumsajili kwa pauni m… Read More
Singano "Messi" katika mtihani mzito Msimbazi.
SIMBA SC inajipanga kumchukulia hatua mchezaji wake, Ramadhani Singano ‘Messi’ kwa kuituhumu klabu hiyo kughushi Mkataba wake.
Mkuu wa Idara
ya Habari na Mawasiliano ya Simba SC, Hajji Sunday Manara ‘Zungu’
amefanya Mkut… Read More
Chelsea yarusha ndoano kwa Gundogan.Timu ya chelsea inatajwa katika mbio za kuhitaji saini ya mchezaji IIkay
Gundogan kutoka Dortmund lakini taarifa zinasema mchezaji huyo yupo
katika mazungumzo na vilabu vingine vya Barcelona, Manchester United.Bayern na Ars… Read More
Mbeya City yafungua ukurasa wa usajili.Mshambuliaji
wa kutumainiwa wa Ndanda Fc, Gideon Benson amesaini kandarasi ya mwaka
mmoja na nusu kujiunga na kikosi ch Mbeya City fc kinachonolewa na Juma
Mwambusi katika msimu ujao Benson ameweka kando ofa kadhaa
aliz… Read More
Man City yamnyatia Isco.Manchester City inataka kupata saini ya kiungo wa Real Madrid Isco. Mchezaji huyo miaka 23 hajui hatima yake Santiago Bernabeu baada ya ujio wa meneja mpya Rafa Benitez.Isco alijiunga na Real Madrid kwa ada ya Euro milioni30 … Read More
0 comments:
Post a Comment