Naibu Rais wa Kenya Wiliam Ruto amesema washukiwa 50 wamekamatwa kuhusiana na machafuko yaliyotokea siku chache zilizopita katika eneo la pwani ya Kenya. Serikali imeahidi kuwasaka wote waliohusika na mashambulio katika vijiji na miji iliyopo karibu na kisiwa cha Lamu. Mamia ya watu wamekimbia makazi yao katika eneo hilo. Wakazi wa huko pia wamesema wamekuta vijikaratasi vinavyotishia Wakristo. Vijikaratasi hivyo vinadaiwa kutoka kwa kundi la al-Shabab. Kundi hilo limekanusha kuhusika na vijikaratsi hivyo.
Wednesday, 9 July 2014
Watu 50 wakamatwa wanaoshukiwa katika milipuko Kenya.
Naibu Rais wa Kenya Wiliam Ruto amesema washukiwa 50 wamekamatwa kuhusiana na machafuko yaliyotokea siku chache zilizopita katika eneo la pwani ya Kenya. Serikali imeahidi kuwasaka wote waliohusika na mashambulio katika vijiji na miji iliyopo karibu na kisiwa cha Lamu. Mamia ya watu wamekimbia makazi yao katika eneo hilo. Wakazi wa huko pia wamesema wamekuta vijikaratasi vinavyotishia Wakristo. Vijikaratasi hivyo vinadaiwa kutoka kwa kundi la al-Shabab. Kundi hilo limekanusha kuhusika na vijikaratsi hivyo.
Related Posts:
BantuTz MAGAZETINI:-SOMA KILICHOANDIKWA KATIKA MAGAZETI YOTE YA LEO DESEMBA 11 BantuTz MAGAZETINI:Ni miongoni mwa huduma bora kabisa tunazozitoa ili wewe mdau wa Bantu usipitwe na habari,stori au taarifa yoyote ile.Tunakuletea kila tunachokipata kwa wakati na muda muafaka.Soma kilichoandikwa k… Read More
Soko la Nguo lashambuliwa na Boko Haram-Nigeria Bomu limelipuka karibu na soko katika mji wa Kaskazini mjini mwa Nigeria. Kwa mujibu wa maafisa wakuu wanasema bomu hilo lilipuka katika eneo ambako mizigo hupakiwa, katika soko la nguo la Kantini Kwari. Taarifa za maje… Read More
BantuTz MAGAZETINI:-SOMA KILICHOANDIKWA KATIKA MAGAZETI YOTE YA LEO DESEMBA 22 BantuTz MAGAZETINI:Ni miongoni mwa huduma bora kabisa tunazozitoa ili wewe mdau wa Bantu usipitwe na habari,stori au taarifa yoyote ile.Tunakuletea kila tunachokipata kwa wakati na muda muafaka.Soma kilichoandikwa ka… Read More
BantuTz MAGAZETINI:-SOMA KILICHOANDIKWA KATIKA MAGAZETI YOTE YA LEO DESEMBA 12 BantuTz MAGAZETINI:Ni miongoni mwa huduma bora kabisa tunazozitoa ili wewe mdau wa Bantu usipitwe na habari,stori au taarifa yoyote ile.Tunakuletea kila tunachokipata kwa wakati na muda muafaka.Soma kilichoandikwa … Read More
BantuTz MAGAZETINI:-SOMA KILICHOANDIKWA KATIKA MAGAZETI YOTE YA LEO DESEMBA 13 BantuTz MAGAZETINI:Ni miongoni mwa huduma bora kabisa tunazozitoa ili wewe mdau wa Bantu usipitwe na habari,stori au taarifa yoyote ile.Tunakuletea kila tunachokipata kwa wakati na muda muafaka.Soma kilichoandikwa ka… Read More
0 comments:
Post a Comment