Naibu Rais wa Kenya Wiliam Ruto amesema washukiwa 50 wamekamatwa kuhusiana na machafuko yaliyotokea siku chache zilizopita katika eneo la pwani ya Kenya. Serikali imeahidi kuwasaka wote waliohusika na mashambulio katika vijiji na miji iliyopo karibu na kisiwa cha Lamu. Mamia ya watu wamekimbia makazi yao katika eneo hilo. Wakazi wa huko pia wamesema wamekuta vijikaratasi vinavyotishia Wakristo. Vijikaratasi hivyo vinadaiwa kutoka kwa kundi la al-Shabab. Kundi hilo limekanusha kuhusika na vijikaratsi hivyo.
Wednesday, 9 July 2014
Watu 50 wakamatwa wanaoshukiwa katika milipuko Kenya.
Naibu Rais wa Kenya Wiliam Ruto amesema washukiwa 50 wamekamatwa kuhusiana na machafuko yaliyotokea siku chache zilizopita katika eneo la pwani ya Kenya. Serikali imeahidi kuwasaka wote waliohusika na mashambulio katika vijiji na miji iliyopo karibu na kisiwa cha Lamu. Mamia ya watu wamekimbia makazi yao katika eneo hilo. Wakazi wa huko pia wamesema wamekuta vijikaratasi vinavyotishia Wakristo. Vijikaratasi hivyo vinadaiwa kutoka kwa kundi la al-Shabab. Kundi hilo limekanusha kuhusika na vijikaratsi hivyo.
Related Posts:
Kila Chama kupata Sh 17 Bilioni za Uchaguzi Mkuu 2015.Dar es Salaam. Serikali imetoa waraka unaotokana na sheria ya gharama za uchaguzi unaokitaka kila chama cha siasa kutumia kiwango kisichozidi Sh17 bilioni katika kampeni zake za uchaguzi wa Rais na wabunge. Waraka huo uliomo … Read More
Wakuta chura ndani ya kopo wa tomato Mtu na mkewe waliokuwa wakiandaa chakula cha mchana walipigwa na butwaa walipopata chura kilichokuwa kimekufa ndani ya mkebe wa tomato. Muhammad na Sanam Hussain waligundua hayo wakati bi Hussain alipokuwa akipika mchuzi … Read More
Huyu ndiye Mbuzi anayekunywa Chai ya Maziwa.Mwandishi na mpiga picha Mohamed Jabra kutoka Gaalkayo, katika eneo la Kaskazini Mashariki mwa Somalia, eneo la Puntland, amesema baada ya mlo wa jioni jana, alikwenda kwenye mgahawa mmoja akiwa na rafiki yake na kuagiza viko… Read More
Maafisa wa kikosi cha ulinzi cha rais nchini Burkina Faso wametangaza kuvunja serikali ya mpito. Maafisa wa kikosi cha ulinzi cha rais nchini Burkina Faso wametangaza kuvunja serikali ya mpito. Badala yake "Baraza la Kidemokrasia na Kitaifa" ndio litachukua udhibiti na kumaliza "utawala dhalimu", amesema afisa mmoja kupi… Read More
Mtalii afariki akijipiga ‘selfie’ Taj Mahal-India.Mtalii mmoja kutoka Japan amefariki baada ya kuteleza na kuanguka kutoka kwenye ngazi katika jengo maarufu la Taj Mahal nchini India. Mmoja wa walioshuhudia kisa hicho,mtalii huyo ameteleza na kuanguka alipokuwa akijipiga sel… Read More
0 comments:
Post a Comment