Facebook

Wednesday, 16 July 2014

Ospina akaribia kutua Arsenal.

 Photo: Ripoti nchini Ufaransa zinasema klabu ya Nice na Arsenal wameingia makubaliano ya mauzo ya Ospina kutoka klabu hiyo ya Ufaransa kujiunga na Arsenal.

Starsport revealed that representatives from Arsenal had been discussing personal terms with the stopper after starring in his country's World Cup run.

Ingawa si rahisi Wojciech Szczesny kupoteza namba 1 kirahisi,  Ospina bila shaka atachuana nae sawa sawa kwani kipa huyo ni mmjoa wa makipa waliofanya vizuri Kombe la Dunia baada ya kuisaidia Colombia kutinga mpaka robo fainali na kutolewa kwa mbinde na wenyeji Brazil.

Ospina anapatikana kwa bei chee baada ya kukataa ofa mpya kutoka klabu yake ya sasa ya Nice ili kurefusha mkataba na klabu hiyo ya Ligue 1 na kwa sasa amebakisha miezi 1 tu.

Arsenal wanahitaji sana kipa kwa sasa kwani Lukasz Fabianksi kajiinga na Swansea huku  Emiliano Viviano akirudi Palermo.

Tunaomba wale mashabiki wa Arsenal wa page hii , kama unashindwa ku-comment au ku-shea basi angalau m-like habari tunazopost ili Facebook wasiuweke ukurasa huu kua haupendwi na kufichwa kwenye feeds.
Ripoti nchini Ufaransa zinasema klabu ya Nice na Arsenal wameingia makubaliano ya mauzo ya Ospina kutoka klabu hiyo ya Ufaransa kujiunga na Arsenal.

"Starsport revealed that representatives from Arsenal had been discussing personal terms with the stopper after starring in his country's World Cup run."

Ingawa si rahisi Wojciech Szczesny kupoteza namba 1 kirahisi, Ospina bila shaka atachuana nae sawa sawa kwani kipa huyo ni mmjoa wa makipa waliofanya vizuri Kombe la Dunia baada ya kuisaidia Colombia kutinga mpaka robo fainali na kutolewa kwa mbinde na wenyeji Brazil.

Ospina anapatikana kwa bei chee baada ya kukataa ofa mpya kutoka klabu yake ya sasa ya Nice ili kurefusha mkataba na klabu hiyo ya Ligue 1 na kwa sasa amebakisha miezi 1 tu.

Arsenal wanahitaji sana kipa kwa sasa kwani Lukasz Fabianksi kajiinga na Swansea huku Emiliano Viviano akirudi Palermo.

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment