Facebook

Wednesday, 16 July 2014

Ospina akaribia kutua Arsenal.

 Photo: Ripoti nchini Ufaransa zinasema klabu ya Nice na Arsenal wameingia makubaliano ya mauzo ya Ospina kutoka klabu hiyo ya Ufaransa kujiunga na Arsenal.

Starsport revealed that representatives from Arsenal had been discussing personal terms with the stopper after starring in his country's World Cup run.

Ingawa si rahisi Wojciech Szczesny kupoteza namba 1 kirahisi,  Ospina bila shaka atachuana nae sawa sawa kwani kipa huyo ni mmjoa wa makipa waliofanya vizuri Kombe la Dunia baada ya kuisaidia Colombia kutinga mpaka robo fainali na kutolewa kwa mbinde na wenyeji Brazil.

Ospina anapatikana kwa bei chee baada ya kukataa ofa mpya kutoka klabu yake ya sasa ya Nice ili kurefusha mkataba na klabu hiyo ya Ligue 1 na kwa sasa amebakisha miezi 1 tu.

Arsenal wanahitaji sana kipa kwa sasa kwani Lukasz Fabianksi kajiinga na Swansea huku  Emiliano Viviano akirudi Palermo.

Tunaomba wale mashabiki wa Arsenal wa page hii , kama unashindwa ku-comment au ku-shea basi angalau m-like habari tunazopost ili Facebook wasiuweke ukurasa huu kua haupendwi na kufichwa kwenye feeds.
Ripoti nchini Ufaransa zinasema klabu ya Nice na Arsenal wameingia makubaliano ya mauzo ya Ospina kutoka klabu hiyo ya Ufaransa kujiunga na Arsenal.

"Starsport revealed that representatives from Arsenal had been discussing personal terms with the stopper after starring in his country's World Cup run."

Ingawa si rahisi Wojciech Szczesny kupoteza namba 1 kirahisi, Ospina bila shaka atachuana nae sawa sawa kwani kipa huyo ni mmjoa wa makipa waliofanya vizuri Kombe la Dunia baada ya kuisaidia Colombia kutinga mpaka robo fainali na kutolewa kwa mbinde na wenyeji Brazil.

Ospina anapatikana kwa bei chee baada ya kukataa ofa mpya kutoka klabu yake ya sasa ya Nice ili kurefusha mkataba na klabu hiyo ya Ligue 1 na kwa sasa amebakisha miezi 1 tu.

Arsenal wanahitaji sana kipa kwa sasa kwani Lukasz Fabianksi kajiinga na Swansea huku Emiliano Viviano akirudi Palermo.

Related Posts:

  • Falcao akubali kutua Manchester United kwa mkopo wa Muda mrefu.Taarifa tulioipata BantuTz SPORTS hivi punde ni kwamba mshambuliaji hatari kutoka Klabu ya AS Monaco ya Ufaransa amekubali kujiunga na Manchester United kwa mkopo wa Muda mrefu huku akiwa anapokea mshahara unaokadiriwa kuwa P… Read More
  • WENGER "YUKO MACHO" KUTAFUTA MSHAMBULIAJI Meneja wa Arsenal Arsene Wenger anataka kununua mshambuliaji mpya kabla ya dirisha la usajili kufungwa Jumatatu. Huku mshambuliaji wao Olivier Giroud akiwa majeruhi, Arsenal walilazimishwa sare ya 1-1 na Leicester iliyopanda… Read More
  • Chicharito ajiunga Real MadridChicharito amejiunga rasmi na klabu ya nchini spain Real Madrid kwa mkopo wa mwaka mmoja na chaguo la kuuzwa moja kwa moja mwisho wa msimu kwa dau la paundi milion 22 … Read More
  • MANCHESTER UNITED YARUDI TENA KWA JORGE MENDES Hali inazidi kuchafuka barani ulaya,ndege zinazidi kupishana hii inatoka huku nyingine inatoka kule kwaajili ya kukamilisha jambo. Sasa kuna habari imetoka kwamba uongozi wa United wameamua kumwendea JORGE MENDES wakala wa R… Read More
  • ARSENAL YAJITOA KUMUWANIA REMYKlabu ya Arsenal imejitoa ghafla katika mbio za kuifukuzia saini ya mshambuliaji wa QPR Mfaransa Loic Remy masaa machache baada ya kudaiwa kuwa imerudi kumuwania tena siku ya jana. Sasa milango iko wazi kwa nyota huyo kutua C… Read More

0 comments:

Post a Comment