Facebook

Friday 10 April 2015

Frank Ribery amponda Van Gaal.

Franck Ribery amtaja kocha Louis Van gaal kama "mtu mbaya(bad
man)
Franck Ribery hajaogopa kutoa maoni yake juu ya kocha Louis Van
Gaa,huku akitoa siri ya mausiano yaliyo kuwa na sumu kati yao alipo
kua katika klabu ya Bayern Munich 2009-2011
Franck Ribery alimbandika jina Luis Van Gaal kama "mtu mbaya" na
kusema uongozi wa kocha huyo raia wa Uholanzi katika klabu ya
Bayern Munich kuli mlazimisha yeye kutaka kufikilia kuhama timu

"tulikuwa na kutokuelewana linapo kuja katika swala la
ubinadamu.alipokua anaanza hakuna aliekuwa anajua nini kitakuja
kutokea" alisema mshambuliaji raia wa ufaransa
"wazo lake lilikuwa nikwamba alikuwa hajali kuhusu majina hata
kidogo,huitaji mastaa,kila mtu alitakiwa ajionyeshe na kumthibitishia
upya tena

"kwa mara ya kwanza nakutana nae ilikuwa tayari nimesha pewa
sumu.kama mchezaji wa kulipwa unapoteza imani.anafanya mambo
makubwa uwanjani lakini kocha Van Gaal alikua mtu
mbaya.Mahusiano yetu yali vunjika"

Ribery slifunga magoli 7 tu,msimu wake mbaya zaidi baada ya
kurejea akiwa chini ya Van Gaal katika msimu wa kwanza,huku
akitakiwa kutafuta mlingano na mchezaji mpya Arjen Robben,Ribery
alipata wakati mgumu mbako kulipelekea yeye kutaka kuondoka
Bayern "ulikua ni mzigo" alisema

"klabu nyingi zili jaribu kunishawishi ni badilike;Real Madrid,Barcelon
a,Juventus,Chelsea,Manchester City.unaanza kufikilia,nilifanya
maamuzi yangu juu ya wapi nataka ni jengee maisha yangu ya
kisoka.Nadhani huu ndio utu"

0 comments:

Post a Comment