Facebook

Saturday 25 April 2015

IIkaay Gundogan mbioni kutua Manchester United.

Habari za ndani kuptia chombo cha habari cha skysports kimeripot kuwa klabu ya Manchester United inakarbia kupata Saini ya kiungo
matata toka klabu ya Borussia Dortmund,Ilkay Gindogan kwa dau la paund milion 21.5.

Gundogan mkataba wake na Dortmund unaisha msimu huu na atakua mchezaji huru hvyo Borussia wako tayari kumuachia sasa.
Mwez Wa pili kocha Van gaal alisema dirisha kubwa la usajili lazma amsajili kiungo mbunifu na mjuzi wa kupiga pasi murua sifa ambazo
Gundogan anazo, amefunga magoli 15 katika mechi 123 alizochezea
Dortmund ikiwemo penati aliyoifunga kwenye mechi uefa fainali dhidi ya bayern Munich.

0 comments:

Post a Comment