Vinara wa La Liga FC Barcelona Jana Usiku wameishindilia Getafe
Bao 6-0 na kupanda kuwa mbele ya Timu ya Pili Real Madrid kwa
Pointi 5.
Mabao ya Barca yalifungwa na mshambuliaji wao hatari Lionel Messi
aliyefunga mara mbili huku, Luis Suarez nae akitupia kambani mabao
mawili , Neymar na Xavi wakifunga bao moja moja.
Mabao hayo ya washambuliaji wa Barca, Messi, Suarez na Neymar
yamewafikisha zaidi ya mabao 100, kwa Msimu huu.
Hii Leo, Real Madrid walioko nafasi ya pili watakua na kibarua cha
kupetetana na Almeria Uwanjani Santiago Bernabeu.
Vita ya kuwania kiatu cha mfungaji bora kiko kwa Cristiano Ronaldo
mwenye magoli 39 akifuatiwa na Messi mwenye mabao 38.
Wednesday, 29 April 2015
Barcelona wazidi "kuchanja mbuga" La Liga.
Related Posts:
BERAHINO AFUNGIWA KUENDESHA GARI MIEZI 12 Mshambuliaji wa West Brom Saido Berahino amepigwa marufuku kuendesha gari kwa kipindi cha miezi 12 baada ya kukiri kosa la kuendesha gari akiwa amelewa. Berahino, 21 alikamatwa na polisi saa za alfajiri Oktoba 22 mwaka … Read More
BantuTZ MAGAZETINI:-SOMA KILICHOANDIKWA KATIKA MAGAZETI YOTE YA LEO JANUARI 17 BantuTz MAGAZETINI:Ni miongoni mwa huduma bora kabisa tunazozitoa ili wewe mdau wa Bantu usipitwe na habari,stori au taarifa yoyote ile.Tunakuletea kila tunachokipata kwa wakati na muda muafaka.Soma kilichoandik… Read More
RONALDO, MOURINHO WAPATA TUZO ZA KARNE Mshindi mara tatu wa tuzo ya Ballon d'Or Cristiano Ronaldo ametajwa kuwa mchezaji wa karne nchini Ureno, katika sherehe za kuadhimisha miaka 100 ya shirikisho la kandanda la nchi hiyo. Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho am… Read More
Mchezaji mpira wa kike adhaniwa kuwa mwanaume. Kumekuwa na vitendo kadhaa vya kuwatilia mashaka wanamichezo wa kike hasa pale wanapokuwa na uwezo mkubwa kuliko kawaida na mashaka zaidi hutiliwa kwenye uhalisia wa jinsi zao ambapo wengi huhofiwa kuwa si wanaw… Read More
Hivi ndivyo Kura za Ballon d’Or zilipigwa hadi washindi kupatikana. Hapo jana usiku zimefanyika tuzo za Ballon d’Or ambapo wachezaji wa mwaka uliopita walikuwa wakitunukiwa na shirikisho la soka ulimwenguni FiFA. Mwanasoka bora wa msimu uliopita mreno Cristiano Ronaldo ameibuka mshindi kw… Read More
0 comments:
Post a Comment