Facebook

Friday 3 April 2015

Mtangazaji nguli wa BBC SWAHILI,Charles Hillary ajiunga na kituo cha AzamTv

Katika kile kinachoitwa mageuzi ya tasnia ya habari nchini.Kituo bora cha AzamTv kimefanikiwa kumnasa mtangazaji nguli wa Kituo cha BBC SWAHILI,Charles Hillary.

Tunasubiri makubwa kutoka AzamTv kutokana na utawala bora walionao hasa kuruhusu Weledi kufanya kazi.

0 comments:

Post a Comment