Facebook

Thursday, 23 April 2015

Volcano ya ajabu yalipuka Chile.

Volcano aina ya Calbuco imelipuka kwa muda mfupi huko nchini Chile ikiwa ni mara ya kwanza ndani ya zaidi ya miaka 40.

Watu waliokuwa wakiishi maeneo jirani na ulikotokea mlipuko wa Volcano hiyo wamelazimika kuyahama makazi yao.

Picha za televisheni zilionyesha wingu zito na majivu vikipanda hewani umbali kilomita kadhaa angani katika jimbo la Los Lagos kusini mwa Chile.

Mamlaka nchini humo zimetoa tangazo la hali ya hatari kwa wakazi wote ambao wapo umbali wa kilomita la mlipuko wa Volcano hiyo huku safari za ndege kuelekea eneo hilo zikiwa zimeahirishwa.

Related Posts:

  • Wasichana 60 waliotekwa na Boko Haram Watoroka.    Zaidi ya wanawake na wasichana 60 wameripotowa kutoroka kutoka katika kundi la Boko Haram, kwa mujibu wa vyanzo vya kiusalama. Wanawake na wasichana hao ni miongoni mwa 68 waliotekwa mwezi uliopita karibu na… Read More
  • Papa Francis aweka mambo hadharani Papa Francis jana alikukutana kwa faragha na kundi dogo la waathiriwa wa unyanyasaji wa kimapenzi waliotendewa na mapadri wa kikatoliki. Ni mara ya kwanza kukutana na waathiriwa hao tangu achaguliwe … Read More
  • Tufani kubwa na lenye nguvu laelekea Japan.     Maelfu ya watu wametakiwa kutafuta hifadhi salama wakati tufani lenye nguvu likipita katika kisiwa cha Okinawa nchini Japan. Tufani hilo lililopewa jina la Neoguri lilotarajiwa kukatisha katika kisiwa cha… Read More
  • Watu 50 wakamatwa wanaoshukiwa katika milipuko Kenya.   Naibu Rais wa Kenya Wiliam Ruto amesema washukiwa 50 wamekamatwa kuhusiana na machafuko yaliyotokea siku chache zilizopita katika eneo la pwani ya Kenya. Serikali imeahidi kuwasaka wote waliohusika na mashamb… Read More
  • Mamia wateketea na Ebola Afrika Magharibi.   Maafisa wa afya wa Afrika Magharibi wanasema watu 25 zaidi wamekufa kutokana na maradhi ya Ebola tangu Julai 3, na kusababisha idadi ya waliokufa hadi sasa kufikia 518. Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema … Read More

0 comments:

Post a Comment