Facebook

Saturday 25 April 2015

Man United yampatia donge nono De Gea kumbakisha.

Kocha wa Manchester United Luis Van Gaal amegeuza karata kwa
David De Gea kwa kusema kuwa klabu imempa pesa nyingi iliabakie Manchester huku mkataba wake ukiatarajiwa kuisha msimu ujao,

United waneweza wakajikuta wanalazimika kumuuza mchezaji bora wa msimu ulio pita
wa Manchester United,uhamisho ambao utawaudhi mashabaiki wengi kwa kuwa mchezaji huyo raia wa spain amekua kipenzi cha mashabiki
kwa sasa.
Alipo ulizwa kuhusu kipa wake,Van Gaal alisema mpira upo kwake na uamuzi upo mikononi mwake
"imechukua muda sasa.inaweza ikatokea,mimi sio bosi,nataka
abakie,mchezaji yeye ndie bosi anaweza akasema ndio au hapana.
"tumemtengea pesa nyingi anatakiwa asaini mkataba mpya"

0 comments:

Post a Comment