Salum Mtumwa, Alex Manguka, Mohammed Ally na Stephano Kikindi,
hawa ni wale vijana wanne waliokamatwa jana baada ya kumpora
mzungu na kumuibia elfu 75 Tsh. Kumbuka jamaa hawa pia
walimlazimisha mzungu huyu kuwapa ATM card yake na password ili
wakombe mkwanja wake wote. Ila kilichovutia ni jinsi yule jamaa
aliyejitolea kuwakimbiza hawa watu na kublock njia yao hali
iliyofanya polisi wawakamate.
Yaani pesa kidogo kama hii isababishe uende jela kweli?? Dah,
inasikitisha. una lipi la kuwaambia washikaji hawa waporaji?
Wednesday, 22 April 2015
Hawa ndio wale majambazi 4 waliokamatwa kwa wizi wa Elfu 75.
Related Posts:
BantuTz MAGAZETINI:-SOMA KILICHOANDIKWA KATIKA MAGAZETI YOTE YA LEO DESEMBA 4 .BantuTz MAGAZETI:Ni miongoni mwa huduma bora kabisa tunazozitoa ili wewe mdau wa Bantu usipitwe na habari,stori au taarifa yoyote ile.Tunakuletea kila tunachokipata kwa wakati na muda muafaka.Soma kilichoandik… Read More
'Website' ya jamboleo.com imekuwa 'hacked' na watu wasiojulikana.Ni website ya habari mbalimbali ambayo imeingiliwa na watu wasiojulikana. Tembelea www.jamboleo.co.tz ujionee Endelea kutembelea www.bantutz.com uweze kufahamu vitu mbalimbali kuhusiana na teknolojia. … Read More
Kituo cha sheria na haki za binadamu kimesema kimesikitishwa na kauli aliyoitoa waziri mkuuKituo cha sheria na haki za binadamu kimesema kimesikitishwa na kauli aliyoitoa waziri mkuu Mh Mizengo Pinda bungeni wakati akiahirisha bunge kuwa hakuna uhakika kwamba fedha zilizokuwa katika akaunt ya Escrow. Kituo cha she… Read More
WARIOBA: RIPOTI YA ZITO DHAIFU, NGELEJA KAHUSIKAJE ESCROW?Waziri mkuu na makamu wa pili wa rais wa zamani, Jaji Joseph Warioba, amesema ripoti ya kamati ya bunge ya hesabu za serikali (PAC) chini ya Kabwe Zitto kuhusu akaunti ya tegeta Escrow ilikuwa dhaifu, yenye kuendeleza tabia y… Read More
BantuTz MAGAZETINI:-SOMA KILICHOANDIKWA KATIKA MAGAZETI YOTE YA LEO DESEMBA 3 BantuTz MAGAZETI:Ni miongoni mwa huduma bora kabisa tunazozitoa ili wewe mdau wa Bantu usipitwe na habari,stori au taarifa yoyote ile.Tunakuletea kila tunachokipata kwa wakati na muda muafaka.Soma kilich… Read More
0 comments:
Post a Comment