Facebook

Tuesday 28 April 2015

Liverpool watimiza miaka 25 tangu washinde ubingwa wa Ligi Kuu Uingereza.

Wakati Liverpool leo wakiwa wanatimiza miaka 25 tangu washinde
ubingwa wa EPL. April 28, 1990 ndio ilikuwa siku ya mwisho kutwaa
uchampion wa England. Swali kwa wana Liverpool - wangapi walishuhudia timu hiyo ikitwaa ubingwa huo?

0 comments:

Post a Comment