Facebook

Friday 10 April 2015

HUU NDIO UZI MPYA WA LIVERPOOL FC

Raheem Sterling ambaye wiki iliyopita alikataa
mkataba wa kulipwa mshahara wa pauni 100,000 kwa wiki Liverpool-
anaonekana hapa na wachezaji wenzake Martin Skirtel, Simon
Mignolet na Daniel Sturridge, wakionesha jezi mpya watakazovaa
msimu ujao. Jezi hizo zimezinduliwa siku ya Ijumaa.

0 comments:

Post a Comment