Cristiano Ronaldo sasa ataweza kuichezea Real Madrid vs Elbar
wikiendi hii, baada ya kadi ya njano aliyoonyeshwa kwa kosa la
kujirusha kufutwa
Friday, 10 April 2015
Ronaldo afutiwa kadi ya njano kwa kosa la kujiangusha.
Related Posts:
Baada ya kutimuliwa Man United,Moyes apata ulaji Spain. Kocha David Moyes ameteuliwa kuwa kocha mkuu wa timu ya Real Sociedad ya Spain . Ikiwa imepita miezi 6 tangu Kocha huyo atimuliwe na Manchester United.David Moyes ambaye alishindwa kuvaa vyema viatu vya … Read More
Ronaldo akana 'kumponda' MessiCristiano Ronaldo amekataa shutma kuwa amemsema vibaya kinara mwenzie katika kabumbu, Lionel Messi. kitabu kipya kuhusu mshambuliaji huyo wa Barcelona, kinaeleza kuwa mchezaji wa Real Madrid mara kwa mara amekuwa akitumia man… Read More
Van Gaal:Wachezaji wanne hatihati kuikosa Arsenal. LOUIS VAN GAAL amedokeza kuwa Wachezaji wake Majeruhi Wanne watashindwa kuwa fiti kuikabili Arsenal . Majeruhi hao Wanne ni Radamel Falcao, Jonny Evans , Phil Jones na Rafael ambao walidhaniwa watapona mapema kuivaa Arsenal… Read More
BantuTz LIVESTREAMING:ANGALIA MECHI ZOTE ZA KIRAFIKI LEO HII KATIKA SIMU,TABLET AU COMPUTER YAKO. BantuTz Livestreaming inakuletea link za kuangalia mechi zote za kimataifa zinakazochezwa leo hii usiku kama ratiba inavyoonyesha. Ni rahisi kabisa,unatakiwa kuwa na huduma ya internet katika kifaa chako Mfano Nunua kifurush… Read More
KUELEKEA TUZO YA MCHEZAJI BORA DUNIANI:RONALDO AENDELEA KUMPIKU MESSI Mchezaji bora wa Dunia Christiano Ronaldo ametwaa Tuzo mbili za ligi kuu ya spain mchana wa leo.Ronaldo ambaye mpaka sasa anaongoza kwa magoli kati… Read More
0 comments:
Post a Comment