Facebook

Wednesday 1 April 2015

SIMBA SC YAINGIA MIKATABA NA MAKAMPUNI MAKUBWA.

Huu Mkataba wa Simba na EAG kama umeanza kueleweka vile ila tatizo tunapata kigugumizi katika utendaji wa viongozi wetu lakini wakitulia na kufanya kile kinachostahiki watanufaika sana na hii kampuni.

Wemesaini mkataba na Huawei pamoja na MO Cola, wanataka kutuaminisha kama walikuwa wanajipanga.

Msimu ujao watakuja kivingine kwa sababu kwa waliofuatilia interview ya Mh.Kaburu alidai hawakuwa na mipango ya Ubingwa msimu huu bali wanaiandaa timu zaidi kwa msimu ujao ngoja nisubiri kama itakuwa kweli au ndo zile siasa za Tz.

0 comments:

Post a Comment