Idadi ya watu ambao wamethibitishwa kuaga dunia wakati
kulipotokea tetemeko kubwa la ardhi nchini Nepal siku ya Jumamosi
imepanda hadi zaidi ya watu 5000.
Utawala unasema kuwa zaidi ya watu 10,000 walijeruhiwa. Serikali ya
Nepal inasema kuwa imelemewa na kiwango cha janga hilo.
Waziri mkuu Sushil Koirala anasema kuwa utawala unapokea maombi
mengi ya kutaka msaada kutoka maeneo ya mbali ya vijiji vya
Himalaya, lakini jitihada za kuyafikia maeneo hayo zinatatizwa na
uhaba wa vifaa na waokoaji.
Waziri huyo mkuu anasema kuwa kuna mahitaji ya dharura ya
mahema , chakula na maji.Zaidi ya nusu ya nyumba katika kijiji hicho zimeharibiwa.
Tuesday, 28 April 2015
Watu zaidi ya 5000 wafariki dunia baada ya tetemeko kubwa la ardhi huko Nepal.
Related Posts:
Mafuriko yaua nchini India Watu kadhaa wanahofiwa kufa baada ya basi walilokuwa wakisafiria kuchukuliwa na maji katika jimbo la Kashmir nchini India. Basi hilo … Read More
Msichana auawa kwa kumtetea babake India Unyanyapaa dhidi ya wanawake ni jinamizi kubwa India Polisi nchini India wanasema kuwa msichana mmoja ambaye alijaribu kumtetea babake kw… Read More
Rais Obama alaani mauaji ya mwandishi Mwandishi Mmarekani Steven Sotloff aliyeuawa kwa kunyongwa na wapiganaji wa kiisilamu Rais wa Marekani Barack Obama amesema kuwa Marekani haitatishwa na mauaji wa mwandishi mwingine wa habari Mmarekani na kundi la I… Read More
Al-Qaeda yafungua tawi jipya India Kiongozi wa kundi la kigaidi la Al-Qaeda, Ayman al-Zawahiri amesema kuwa wamefungua tawi jipya la mtandao huo wa kigaidi nchini India i… Read More
Boko Haram wauteka mji muhimu Nigeria Kundi la Boko haram limefanya mashambulizi katika mji wa Bama na kusababisha mauaji ya watu wengi huku wengine wakitoroka. Wanamgambo hao waliuteka mji wa Bama ,ambao ni wa pili kwa ukubwa katika jimbo la Borno sik… Read More
0 comments:
Post a Comment